Naomba muongozi wa kusoma chuo nje ya nchi

lakini si bado second na third round zinakuja? Madogo wanafahuru sana, mitihani ni miepesi sana. Ukiona dogo anapata div.two ta siku hizi ni sawa na div.four ya kuanzia miaka ya 2011 kushuka chini.
Second na third round kupata ni kubet sana kama mtu kakosa first round tena vyuo vyote
 
lakini si bado second na third round zinakuja? Madogo wanafahuru sana, mitihani ni miepesi sana. Ukiona dogo anapata div.two ta siku hizi ni sawa na div.four ya kuanzia miaka ya 2011 kushuka chini.
Upo sahihi mkuu
 
Sorry amekosa kwenye vya serikali au hata vya private?

Nb:kama mna hela ya private na nafsi ipo bora asome hapa hapa kuna kairuki kipo poa ...hizo gharama za nje nchi yenyewe Rwanda naona haina mashiko kivile.
 
Ushindani mkubwa kama C.O bila kua na GPA ya 4+ hutoboi na hapo wanachukua wachache mno...mimi MD nilishaikataaga mwakani nitasoma kitu kingine ila sio nje ya afya kufukia mashimo niendelee kula mia 2 za mitaani.
pole mkuu..... sasa shida inakua ni nini?kama mtu anakosa had kairuk na kampala mm sikutegemea aisee
 
Back
Top Bottom