slatcher
Senior Member
- Aug 5, 2016
- 132
- 208
Olevel ana matokeo gani?Diploma c.o ...3.5 gpa
Olevel ana matokeo gani?Diploma c.o ...3.5 gpa
Second na third round kupata ni kubet sana kama mtu kakosa first round tena vyuo vyotelakini si bado second na third round zinakuja? Madogo wanafahuru sana, mitihani ni miepesi sana. Ukiona dogo anapata div.two ta siku hizi ni sawa na div.four ya kuanzia miaka ya 2011 kushuka chini.
div one 13Olevel ana matokeo gani?
Km yangu Olevel nna 1-13 Clinical medicine nna 3.8 tangu 2017 naapply chuo nakosa sio vya private wala serikalidiv one 13
pole mkuu.....😅😅😅😅 sasa shida inakua ni nini?kama mtu anakosa had kairuk na kampala mm sikutegemea aiseeKm yangu Olevel nna 1-13 Clinical medicine nna 3.8 tangu 2017 naapply chuo nakosa sio vya private wala serikali
Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
Ila kuna mshikaji Wng ana 3.5 na div 2 yupo md 2, maisha ni connection tu siku hzpole mkuu..... sasa shida inakua ni nini?kama mtu anakosa had kairuk na kampala mm sikutegemea aisee
Sasa hiyo connection ndo tusaidiane...sasa si unaona hata ww miaka mitatu mfulululizo hupatiIla kuna mshikaji Wng ana 3.5 na div 2 yupo md 2, maisha ni connection tu siku hz
Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
Atafute tu nafsi chuoni husika physicallySasa hiyo connection ndo tusaidiane...sasa si unaona hata ww miaka mitatu mfulululizo hupati
Md sijui ina nn kwa sahz ina nn....dogo lang had kampala tulipokua tunap
adharau kakosa
Diploma c.o ...3.5 gpa
pole mkuu..... sasa shida inakua ni nini?kama mtu anakosa had kairuk na kampala mm sikutegemea aisee