Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,087
- 6,568
Inakera sana tena sana,sasa hivi kila mwananchi anakosa huduma za msingi, kisa tu uchaguzi na kampeni.
Ukienda kwa wakuu wa Wiaya, Wakurugenzi na hata Watumishi wa afya watakuambia wapo bize na shughuli za serikali.
Swali la msingi je serikali imesimama kufanya kazi kisa tu uchaguzi na kampeni? Mbona tunanyanyasika kwa uchaguzi ambao hata matokeo yaliyashapangwa?
Ukienda kwa wakuu wa Wiaya, Wakurugenzi na hata Watumishi wa afya watakuambia wapo bize na shughuli za serikali.
Swali la msingi je serikali imesimama kufanya kazi kisa tu uchaguzi na kampeni? Mbona tunanyanyasika kwa uchaguzi ambao hata matokeo yaliyashapangwa?