Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,325
1. KESSy yule wa rukwa.. kazi kubwa anayo fanya ni kujipendeleza kulinda biashara yale ya maji.. Hillwater. Juzi anasema katiba ni maandishi ambayo tunaweza yafuta wakati wowote.
2. Msukuma: Kazi yake kubwa bungeni ni kujipendekeza kulinda biashara zake za mabasi na madini.. Hajawahi ongea point yenye mtazamo wa kimkakati kwa taifa.
3. Lusinde: Anafuga kitambi tuu bungeni na kutukana wapinzani. Hajawahi ongea point kuguza mikakati ya kitaifa.
4. Lijuakali: Msaliti na haaminiki, kazi yake kubwa imekua kutukana chadema na mbowe.
5. Sanga: Makambako anakula tuu pesa ya serikali.. tukio lake la mwisho bungeni alikata mauno aliposikia sifa ya kuwa mbunge ni kusoma na kuandika.
6. Mlinga: Anakula tuu kodi ya wananchi ya kuleta mizaha bungeni na kutukana wapinzani.
7.
8.
9
10.
Tanzania tusipp jirekebisha itachukua miaka zaidi ya 50 kurudi kwenda mstari.
2. Msukuma: Kazi yake kubwa bungeni ni kujipendekeza kulinda biashara zake za mabasi na madini.. Hajawahi ongea point yenye mtazamo wa kimkakati kwa taifa.
3. Lusinde: Anafuga kitambi tuu bungeni na kutukana wapinzani. Hajawahi ongea point kuguza mikakati ya kitaifa.
4. Lijuakali: Msaliti na haaminiki, kazi yake kubwa imekua kutukana chadema na mbowe.
5. Sanga: Makambako anakula tuu pesa ya serikali.. tukio lake la mwisho bungeni alikata mauno aliposikia sifa ya kuwa mbunge ni kusoma na kuandika.
6. Mlinga: Anakula tuu kodi ya wananchi ya kuleta mizaha bungeni na kutukana wapinzani.
7.
8.
9
10.
Tanzania tusipp jirekebisha itachukua miaka zaidi ya 50 kurudi kwenda mstari.