Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
basi kabla ya kufanya hivo akushirikishe kwanza. lkn ghafla tu hapo kuna alama ya kuuliza why? wataeleza mbele ya waumini kuna nini kinaendelea kati yao wawili.Umemnunulia mkeo gari, unashngaa jioni ya jumapili anarudi kwa daladala. Gari wapi, anakwambia kapanda mbengu kanisani ili apate baraka. Japo ni swala la kidini utafanyaje funguo pastor kesha kabidhiwa;
loh! ili ujipatie mijigar siokuna umuhimu wa kuanzisha kanisa aisee lol
loh! ili ujipatie mijigar sio
Nenda kalichukue, kwani mlinunua kwa ajili ya kanisa au, michango mengine mnayotoa haitoshi, kalichukue, asikupandishe hasira.
kuna umuhimu wa kuanzisha kanisa aisee lol
sio gari tu.kila kitu...
hata hao wadada inaonekana wakiombwa na wachungaji hawakatai....lol
Umemnunulia mkeo gari, unashngaa jioni ya jumapili anarudi kwa daladala. Gari wapi, anakwambia kapanda mbengu kanisani ili apate baraka. Japo ni swala la kidini utafanyaje funguo pastor kesha kabidhiwa;