esoste
Member
- Oct 3, 2021
- 12
- 5
Kwa 600k niwapi naweza pata laptop nzuri yenye ubora ikiwezekana kua na graphics card au/na SSD itakua poa Chief-Mkwawa
Natafakar kwa kina bossSsd mkuu unaweka mwenyewe mbele ya safari, gpu na cpu ni vizuri kuangalia kwa sasa.
Mahala pa kupata ni mtaani mkuu, dukani mpya laki 6 unapata vimeo vya kutosha.
Kwa laki 6 angalau gen ya 6.
Search neno 6th gen site za classified ads kama zoomTanzania.
Ni processor gan ambayo ina ubora.Ssd mkuu unaweka mwenyewe mbele ya safari, gpu na cpu ni vizuri kuangalia kwa sasa.
Mahala pa kupata ni mtaani mkuu, dukani mpya laki 6 unapata vimeo vya kutosha.
Kwa laki 6 angalau gen ya 6.
Search neno 6th gen site za classified ads kama zoomTanzania.
Hakuna processor moja maalum ambayo ni bora ndio maana Nimeandika gen ya 6 kwenye hio comment. Cpu yoyote ya intel gen ya 6 kupanda ni fair kwa hio budget,Ni processor gan ambayo ina ubora.
Shukran bossHakuna processor moja maalum ambayo ni bora ndio maana Nimeandika gen ya 6 kwenye hio comment. Cpu yoyote ya intel gen ya 6 kupanda ni fair kwa hio budget,
List ya cpu za laptop gen ya 6 utaziona hapa
Skylake U - Cores - Intel - WikiChip
Skylake U (SKL-U) is the name of the core for Intel's line of low-power mobile processors based on the Skylake microarchitecture serving as a successor to Broadwell U. These chips are primarily targeted towards light notebooks and laptops, portable all-in-ones (AiOs), minis, and conference...en.wikichip.org
Nikiwa na 800000 je! Nitapata laptop nzur?Ssd mkuu unaweka mwenyewe mbele ya safari, gpu na cpu ni vizuri kuangalia kwa sasa.
Mahala pa kupata ni mtaani mkuu, dukani mpya laki 6 unapata vimeo vya kutosha.
Kwa laki 6 angalau gen ya 6.
Search neno 6th gen site za classified ads kama zoomTanzania.
Used ndio unapata laptop nzuri. Gen ya 8 na gpu lowend hizi za mx series.Nikiwa na 800000 je! Nitapata laptop nzur?
kama bado hujapata nkuunganishe na jama alikuwa anataka kuniuzia hii alianzia 600k tukashushana mpaka 420k sema niliilata nyinginge hp envyKwa 600k niwapi naweza pata laptop nzuri yenye ubora ikiwezekana kua na graphics card au/na SSD itakua poa Chief-Mkwawa
Sitapigwa huko?Used ndio unapata laptop nzuri. Gen ya 8 na gpu lowend hizi za mx series.
Mfano kama hizi
Laptops in Tanzania
Find the latest laptops on offer from trusted sellers and vendors. Enquire over WhatsApp, email or phone.www.zoomtanzania.com
Hp 450 G5 with NVIDIA 930MX Dar es Salaam 3210289 | Kupatana
Ram 8GB HDD 500GB CPU Core i5 8th Generation GPU NVIDIA 930mx comes with free FIFA 21, NFS Heat and Mortal Kombat 11kupatana.com
Zipo nyingi cheki cheki insta, fb, kupatana, zoom etc.
Cha muhimu gen ya 8 kupanda na dedicated gpu nvidia ama radeon (Amd)
Kama unajua kuangalia specs si rahisi kupigwa, laptop si kama simu.Sitapigwa huko?
Ni mpya?kama bado hujapata nkuunganishe na jama alikuwa anataka kuniuzia hii alianzia 600k tukashushana mpaka 420k sema niliilata nyinginge hp envy
Hp Probook 645 G1 14"
AMD A6 5th Generation
Processor 2.9GHz
Hdd 500Gb RAM6gb
Graphics card 3gb (728mb dedicated)
Charge 4hrs
Fingerprint scanner
usedNi mpya?