Mimi ni kijana niliehitimu masomo yangu ya kidato cha nne mwaka 2016 namshukuru mungu nilifaulu nilipata div II ya points 21,nilifanikiwa kupangiwa PCM shule ya lugufu mkoani kigoma lakini wazazi wangu walishindwa kunipeleka shule kutokana hali duni kwa sasa nipo nyumbani tu sijui cha kufanya maana tulijaribu kutafuta wafadhili walau nisomeshwe ikashindikana nilikua na mpango wa kujitolea jkt mwaka huu lakini sijui post zitatoka lini naombeni
Ushauri wenu nini nifanye au mwenye kuweza nisaidia anisaidie
Ufaulu wangu nikama ifuatavyo
Civics-c
History-c
Geography-c
Kiswahili-c
English-c
Physics-c
Chemistry-c
Biology-c
Mathematics-d
Ushauri wenu nini nifanye au mwenye kuweza nisaidia anisaidie
Ufaulu wangu nikama ifuatavyo
Civics-c
History-c
Geography-c
Kiswahili-c
English-c
Physics-c
Chemistry-c
Biology-c
Mathematics-d