kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,174
- 12,268
Nilidownload app ya Nmb mobile account na nikafungua account bila kwenda bank, pesa nikawa naweka kama kawaida. Yaani nilikuwa nafanya kuhamisha hela zilizoko mpesa naweka NMB mobile account. Sasa leo asubuhi nikapita kwa wakala wa nmb ili nitoe tsh 200,000. Nimefanya huo muamala lakini maajabu pesa imetoka lakini sijapokea sms yoyote na wakala nae hajapata sms yoyote pia pesa nayo haijafika.
Nimejaribu kuwasiliana na NMB huduma kwa wateja kupitia njia ya simu nikawapa maelekezo yote, waliponichosha ni pale waliponiuliza number ya account.
Kiukweli mimi number ya account sina... Na sijui hiyo number ya account naipataje. Pia wakati najiunga na hiyo app hiyo number ya account sikupewa, nilikuwa natumia number ya simu kuingia.
NISAIDIENI PLEASE...
Nimejaribu kuwasiliana na NMB huduma kwa wateja kupitia njia ya simu nikawapa maelekezo yote, waliponichosha ni pale waliponiuliza number ya account.
Kiukweli mimi number ya account sina... Na sijui hiyo number ya account naipataje. Pia wakati najiunga na hiyo app hiyo number ya account sikupewa, nilikuwa natumia number ya simu kuingia.
NISAIDIENI PLEASE...