habari wanajf!naomba msaada wenu, nina mdogo wng anatafuta kazi aina ya customer service au call center:elimu yake ni kidato cha sita ila akasoma na certificate ya mambo ya customer care+marketing +computer anafahamu pia...anahitaji kujiendeleza kielimu ila financialy hatuko vizur sana i mean the family kwa ujumla hivyo tunajtahid atleast apate hata kazi za call center kwenye mitandao ya simu or else atlest aweze kumove on na family tukiadd up kidog itasaidia yey kusoma na kufikia malengo...naamini mtanisaidia..asanteni sana..