Naomba msaada wakuu.

AbouZakariya

JF-Expert Member
Mar 19, 2013
1,615
2,337
Habari zenu wakuu, naomba msaada wa mamna ya kuweza kumtumia mtu file ambayo itazidi mb 16.

Mimi natumia samsung note 3 ambayo uwezo wake wa mwisho kutuma ni 16 mb pekee, sasa nina ulazima wa kutuma file ya 60 mpaka 70 lakini nakwama sasa wakuu, je kuna yeyote ajuaye ujanja wowote wa kuniwezesha kufanya ili simu yangu iwe na uwezo huo, au labda kuna ajuaye application yoyote inayoweza kuniwezesha kufanya hivyo.

Tafadhali naomba msaada wenu wadau.
 
Kama sijakuelewa hivi. Umejaribu kumtumia mtu hilo file kwa njia gani Bluetooth, whatsapp or what?
 
Kama sijakuelewa hivi. Umejaribu kumtumia mtu hilo file kwa njia gani Bluetooth, whatsapp or what?
Mkuu mtu mwenyewe yuko mkoa kwa hiyo nilijaribu kumtumia kwa whatsapp ndio ikashindikana, na hata nilipojaribu kutumia e-mail ilishindikana kwa kuwa simu yangu haina uwezo wa kutuma zaidi ya 16 mb.
 
Mkuu mtu mwenyewe yuko mkoa kwa hiyo nilijaribu kumtumia kwa whatsapp ndio ikashindikana, na hata nilipojaribu kutumia e-mail ilishindikana kwa kuwa simu yangu haina uwezo wa kutuma zaidi ya 16 mb.
Whatsapp ndo haikubali sio tatizo la simu yako. Pia kuna njia nyingine ya kutumia google drive pia nadhani.
 
Habari zenu wakuu, naomba msaada wa mamna ya kuweza kumtumia mtu file ambayo itazidi mb 16.
Mimi natumia samsung note 3 ambayo uwezo wake wa mwisho kutuma ni 16 mb pekee, sasa nina ulazima wa kutuma file ya 60 mpaka 70 lakini nakwama sasa wakuu je kuna yoyote ajuaye ujanja wowote wa kuniwezesha kufanya ili simu yangu iwe na uwezo huo, au labda kuna ajuaye application yoyote inayoweza kuniwezesha kufanya hivyo.
Tafadhali naomba msaada wenu wadau.
Unawza kutuma kwa whatsapp ila ni njia ndefu njia nzur tumia Google driver
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom