donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,031
- 21,499
Naomba msaada wakuu kwa apk ya IMEI changer kwa Qualcomm devices, hii Mobile uncle naona ni kwa MTK devices tu. Kuna loophole flan hivi ya free internet nataka kuiexploit
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Internet inahitaji IMEI ama IP address?Naomba msaada wakuu kwa apk ya IMEI changer kwa Qualcomm devices, hii Mobile uncle naona ni kwa MTK devices tu. Kuna loophole flan hivi ya free internet nataka kuiexploit
Naamanisha nlichokiongea hapo mkuuInternet inahitaji IMEI ama IP address?
Ile ya basi la blue unayotuma neno bureInternet inahitaji IMEI ama IP address?
Ile ya basi la blue unayotuma neno bure
endelea kutesekaMkuu mimi nikituma mbona haileti msg yoyote kwa kutumia hilo basi kiongozi...?
Ndio maana kuna haja ya kuchange IMEI mkuuMkuu mimi nikituma mbona haileti msg yoyote kwa kutumia hilo basi kiongozi...?
mkuu miracle thunder haiwezi fanikisha kweli.Kwa simu za Qualcomm security ni kubwa, Imei inabadilishika ila sio rahisi kihivyo, usually ni process ndefu na sometime unaweza kutakiwa kununua kitu kubadili.
Kuna box zilikuwa zinaandika certificate ambayo ndani ina Imei, certificate zinauzwa na box pia zinauzwa na ni simu za zamani. Simu za sasa ni ngumu zaidi Imei inakuwa ndani ya hardware kabisa. Kuna watu wanafanya ila sijui kama ni safe tena wanafanya remotelymkuu miracle thunder haiwezi fanikisha kweli.
Ndio maana kuna haja ya kuchange IMEI mkuu
Nashkuru mkuuKwa simu za Qualcomm security ni kubwa, Imei inabadilishika ila sio rahisi kihivyo, usually ni process ndefu na sometime unaweza kutakiwa kununua kitu kubadili.
Naam, kuna jamaa yangu naye ilikua inazingua kukubali ila uzuri yeye alikua anatumia MTK device tena ambayo iko rooted hivyo tulitumia mobile uncle tools kuchange IMEI and vouloir, ikakubali!It means uki-change IMEI unaweza ukafanikiwa kupata hizo free GB's mkuu...?
mkuu, sasa hapo si mtu unatumia hata kitochi unachange IMEI ambapo naamini penyewe itakua rahisi then, unakua unahospotisha hio baba lao SPD.Naam, kuna jamaa yangu naye ilikua inazingua kukubali ila uzuri yeye alikua anatumia MTK device tena ambayo iko rooted hivyo tulitumia mobile uncle tools kuchange IMEI and vouloir, ikakubali!
Yes kwa nyingine zinakubali kwa hivyo mkuumkuu, sasa hapo si mtu unatumia hata kitochi unachange IMEI ambapo naamini penyewe itakua rahisi then, unakua unahospotisha hio baba lao SPD.
Yes kwa nyingine zinakubali kwa hivyo mkuu