Aladeen04
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 3,519
- 5,683
Tafadhari nisaidie namna ya kufanya mkuu.Watu wengi wamezoea kununua magari kwa dealers ila kama mngefungua macho kuanza nunua direct kwenye auction ndio mngeona hao dealer wanavyowapiga pia gar kwenye action inakuwa na taarifa zote na huku Japan hao dealer wote hununua kwenye auction, pia msijiaminishe kuwa fraud hazipo nashauri mnapotaka kununua ask for auction sheet ili ujua condition ya gari maana wengi hununua had R grade bila kujua