Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,813
- 3,766
Habari za asubuhi wanajamvi
Nina mshukuru Mungu kwa kunipa uhai na pia kuniwezesha kuwa mmoja wa wanajamvi. Suala la muhususi ninahitaji ushauri wa kibiashara,
Nina laki sita hapa kwenye HALOPESA yangu ambayo ninataka kufanya biashara ila mpaka sasa hivi sijajua nifanye biashara gani ambayo kwa mtaji wangu inaweza ikanisaidia kupata hata elfu moja moja kila siku kwajili ya matumizi ya familia yangu.Natanguliza shukrani wakuu
Nina mshukuru Mungu kwa kunipa uhai na pia kuniwezesha kuwa mmoja wa wanajamvi. Suala la muhususi ninahitaji ushauri wa kibiashara,
Nina laki sita hapa kwenye HALOPESA yangu ambayo ninataka kufanya biashara ila mpaka sasa hivi sijajua nifanye biashara gani ambayo kwa mtaji wangu inaweza ikanisaidia kupata hata elfu moja moja kila siku kwajili ya matumizi ya familia yangu.Natanguliza shukrani wakuu