Naomba ushauri, mlango wa haja kubwa unaniwasha Mara kwa Mara sijui dawa yake ni nini? Nimetibiwa sana za minyoo, na fungus lakini wapi!! Msaada jamani.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Duh pole sana inawasha tu au unapata feelings za kukunwa na kitu kigumu?
Mh,ngoja nipite,Kitu kigumu!!kitu gani hicho sasa na wewe?:lol:
Naomba ushauri, mlango wa haja kubwa unaniwasha Mara kwa Mara sijui dawa yake ni nini? Nimetibiwa sana za minyoo, na fungus lakini wapi!! Msaada jamani.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
mgomo bado unaendelea pale,,,,sijui huko fasti trakiSababu ziko nyingi sana.Cha. Muhimu nenda kwa daktari bingwa muhimbilia.Nenda sehemu ya kulipa mana huko ndo utajieleza na kupata huduma iliyobora.Pole sana!
jamani hili ni tatizo la wengi na hapa sioni ushauri kabisa, au jf hakuna madaktari????
nenda hospital ndugu, kabla hujazidiwa nakuamua kugawa 0713