Habari,
Nimekuwa na tatizo la tumbo kuunguruma sana kiasi cha kusikika hata kwa mtu aliye pembeni yangu. Hii hali inatokea muda wote nikiwa na njaa na hata nikiwa nimeshiba.
Mwezi mmoja uliopita nilienda hospitalini kutafuta ufumbuzi wa tatizo hilo. Baada ya vipimo ikabainika kuwa nina Amiba hivyo nikapewa dose iitwayo metronidazole ambayo nmekunywa hadi kuimaliza lakini hali imerudi vilevle.
Naomba mwenye ushauri au utaalaam juu ya hali kama hii anisaidie.
Nimekuwa na tatizo la tumbo kuunguruma sana kiasi cha kusikika hata kwa mtu aliye pembeni yangu. Hii hali inatokea muda wote nikiwa na njaa na hata nikiwa nimeshiba.
Mwezi mmoja uliopita nilienda hospitalini kutafuta ufumbuzi wa tatizo hilo. Baada ya vipimo ikabainika kuwa nina Amiba hivyo nikapewa dose iitwayo metronidazole ambayo nmekunywa hadi kuimaliza lakini hali imerudi vilevle.
Naomba mwenye ushauri au utaalaam juu ya hali kama hii anisaidie.