Naomba msaada wa tatizo la ngozi ya korodani kubanduka

Aisee kuna kitu inaitwa pangusa, ukiichezea ukaacha kwenda kumuona daktari inaweza ikakupangusa kisawa sawa
 
Aisee kuna kitu inaitwa pangusa, ukiichezea ukaacha kwenda kumuona daktari inaweza ikakupangusa kisawa sawa
Ndo kinini hiki...inakuwaje kuwaje na inasababishwa na nn isije ikawa kuna wenye nayo ila hawajui mwishowe pumbu lidondoke kutoka kwenue sac yake
 
Za majukumu,

Mimi ni kijana nimekuwa na tatizo la kubanduka kwa ngozi ya korodani mara tuu ninavyomaliza ku sex na mwanamke na hii inatokana na kugusa yale uke kwenye korodani.

Nahitaji msaada wa kitabibu nijue chanzo na suluhisho la tatizo. Thank you in advance
Sio pumbu jero?
 
Hiyo ni fungus ni kawaida kwa mwanaume, nenda hospital watakupa dawa ya kupaka ila hakikisha huna unyevu unyevu muda wote kwasababu fungus wanasurvive zaidi kwenye unyevu.

Sent using Samsung J1
 
hakuna kitu kama hicho,sababu ni uchafu mkuu, hiyo wanaita p*mbu erosion ,ukimaliza kuoga jifute na towel safi na uoge mara kwa mara na anti bacterial soaps.
Hahahah umenikumbusha mbali sana mkuu "PUMBU EROSION " huu ugonjwa umetutesa sana kipind tupo Chuo.
 
Back
Top Bottom