Ndo kinini hiki...inakuwaje kuwaje na inasababishwa na nn isije ikawa kuna wenye nayo ila hawajui mwishowe pumbu lidondoke kutoka kwenue sac yakeAisee kuna kitu inaitwa pangusa, ukiichezea ukaacha kwenda kumuona daktari inaweza ikakupangusa kisawa sawa
May beLabda ulvyokuwa unapiga nyeto pumbu znamwagiwa shahawa ndo maana ngozi ikawa imababuka
Hii comment made my night aseee!🤣🤣🤣Wee utakuwa jamaa wa kwanza mwenye allergy ya papuchi
Sio pumbu jero?Za majukumu,
Mimi ni kijana nimekuwa na tatizo la kubanduka kwa ngozi ya korodani mara tuu ninavyomaliza ku sex na mwanamke na hii inatokana na kugusa yale uke kwenye korodani.
Nahitaji msaada wa kitabibu nijue chanzo na suluhisho la tatizo. Thank you in advance
Pugu boys+ minaki boys utawajua tuhakuna kitu kama hicho,sababu ni uchafu mkuu, hiyo wanaita p*mbu erosion ,ukimaliza kuoga jifute na towel safi na uoge mara kwa mara na anti bacterial soaps.
Hahahah umenikumbusha mbali sana mkuu "PUMBU EROSION " huu ugonjwa umetutesa sana kipind tupo Chuo.hakuna kitu kama hicho,sababu ni uchafu mkuu, hiyo wanaita p*mbu erosion ,ukimaliza kuoga jifute na towel safi na uoge mara kwa mara na anti bacterial soaps.
Itakuwa mzumbe hioHahahah umenikumbusha mbali sana mkuu "PUMBU EROSION " huu ugonjwa umetutesa sana kipind tupo Chuo.