lossoJR
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 2,711
- 2,382
Habari wakuu, nimekua na tatizo la kupigwa shoti mwilini hasa nishikapo materials tofauti(kasoro plastic) bt aluminium,chuma bt hata vitasa vya gari au gari yenyewe, hali hii hunitokea mara moja kwa muda husika, ila nikishika tena sipatwi na tatizo hilo, cha ajabu ikipita masaa kadhaa nikajisahau nikaegemea kitu kimoja wapo napigwa tena,sasa imekua shida.
NOTE; pindi nipatapo hali hii na nikawa napeana mkono na mwingine basi nae hupigwa shoti.
Msaada zaidi tafadhali.
NOTE; pindi nipatapo hali hii na nikawa napeana mkono na mwingine basi nae hupigwa shoti.
Msaada zaidi tafadhali.