Naomba msaada wa tatizo la kutokwa damu puani

chama mpangala

JF-Expert Member
Sep 3, 2015
494
677
Wanajukwaa poleni na majukumu.
Naombeni msaada wenu wa tiba na mawazo kwa huu ugonjwa. Mama yangu kapatwa na tatizo la kutokwa damu puani ni mwezi sasa na umri wa miaka 50+ lakini bado ana nguvu zake vizuri tu.

Ameenda hospitali kuna sindano amekuwa akichoma lakini haijasaidia.
 
Mwambie akapime blood pressure inaweza kuwa blood pressure inapanda sana ndio sababu damu inatoka puani hiyo ni bahati yake kama damu haitoki puani na pressure imepanda huwa inapasua mishipa na kusababisha ulemavu au kuwa kwenye coma
 
Mwambie akapime blood pressure inaweza kuwa blood pressure inapanda sana ndio sababu damu inatoka puaani hiyo ni bahati yake kama damu haitoki puani na pressure imepanda huwa inapasua mishipa na kusababisha ulemavu au kuwa kwenye coma
Ushauri mzuri, ni vizuri akaanza na hili haraka kama atakuwa hana shida ndio atafute matibabu mengine. Ana uzito gani?
 
Hili tatizo limekuwa likinishika sana ninaweza nikawa nimeinamisha kichwa nasikia damu zinatoka au wakati wakulala pia zinaweza zikatoka tu nikakuta shuka limekuwa na damu. Kwa sasa imepungua hali natumia Ethredren nasal drop ikianza inatulia kwa muda mrefu bila kutoka tena. Ajaribu Ethredren.
 
Mwambie akapime blood pressure inaweza kuwa blood pressure inapanda sana ndio sababu damu inatoka puaani hiyo ni bahati yake kama damu haitoki puani na pressure imepanda huwa inapasua mishipa na kusababisha ulemavu au kuwa kwenye coma
 
Mwambie akapime blood pressure inaweza kuwa blood pressure inapanda sana ndio sababu damu inatoka puaani hiyo ni bahati yake kama damu haitoki puani na pressure imepanda huwa inapasua mishipa na kusababisha ulemavu au kuwa kwenye coma
Hospitali alienda kuna dawa flani ya sindano aliandikiwa
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom