chama mpangala
JF-Expert Member
- Sep 3, 2015
- 494
- 677
Wanajukwaa poleni na majukumu.
Naombeni msaada wenu wa tiba na mawazo kwa huu ugonjwa. Mama yangu kapatwa na tatizo la kutokwa damu puani ni mwezi sasa na umri wa miaka 50+ lakini bado ana nguvu zake vizuri tu.
Ameenda hospitali kuna sindano amekuwa akichoma lakini haijasaidia.
Naombeni msaada wenu wa tiba na mawazo kwa huu ugonjwa. Mama yangu kapatwa na tatizo la kutokwa damu puani ni mwezi sasa na umri wa miaka 50+ lakini bado ana nguvu zake vizuri tu.
Ameenda hospitali kuna sindano amekuwa akichoma lakini haijasaidia.