Je advance umesema combination gani?Nimemaliza kidato Cha 6 nimepata div. 4 point 18 yaani E, S kwakuwa ndoto zangu zilikuwa kuendelea na elimu ya chuo kikuu na kurudia mtihani wa kidato Cha 6 sitaki, je nikisoma foundation programme itanisaidia? Au nifanyeje ili nitimize malengo
Je advance umesoma combination gani?Je advance umesema combination gani?
pitia NACTE Kisha chuo kikuuNimemaliza kidato Cha 6 nimepata div. 4 point 18 yaani E, S kwakuwa ndoto zangu zilikuwa kuendelea na elimu ya chuo kikuu na kurudia mtihani wa kidato Cha 6 sitaki, je nikisoma foundation programme itanisaidia? Au nifanyeje ili nitimize malengo
Soma diploma then degreeHKL mkuu
Soma diploma then degree
Anasoma foundationAkipata GPA chini ya 3 je??