Ushamba ni nini? Ninavyo fahamu kule asilimia kubwa ya wenyeji ni wakulima na wafugaji...ndo una maanisha hivyo.Sio matejo tu huku chuga ushamba wa watu ni mkubwa kuliko zile sifa za kijinga wanazoji mwambafai aisee
Tofautisha ukulima na ushamba ni vitu viwili tofauti hujui hata fasihi?Ushamba ni nini? Ninavyo fahamu kule asilimia kubwa ya wenyeji ni wakulima na wafugaji...ndo una maanisha hivyo.
Unae fahamu ndo nimekuuliza una manisha nn? Sio kila ulicho pitia ww na mm nipitie vile vile.Tofautisha ukulima na ushamba ni vitu viwili tofauti hujui hata fasihi?
Hili ni kweli kabisa, hawa jamaa wana jimbwambafai ni balaaSio matejo tu huku chuga ushamba wa watu ni mkubwa kuliko zile sifa za kijinga wanazoji mwambafai aisee
Asante sana, huu nime ubebaHatuna tabu watu wachugaa.....jichanganye kwenye saloon unapo nyoaa,iwe Ni sehemu yako ya story ukitoka job,jirani Kama Kuna duka Jenga mazoea na muuza duka uwe unapiga piga nae story....je epusheee na umbeaaa,maneno mengi,majisifu au kujidai chugaa utaishi kwa raha
HahhahahahhahahUshamba ni nini? Ninavyo fahamu kule asilimia kubwa ya wenyeji ni wakulima na wafugaji...ndo una maanisha hivyo.
Ni kweliWabaguzi sana japo wengine hawajishitukiagi,wana ukabila,ukanda na ujuaji wa kipumbavu sana,wana chuki sana na watu wa kanda ya ziwa kwa sababu za kipumbavu vilevile za vyama na wivu wa kabila kubwa la Sukuma
Ukiona wanakupenda jua wanakuvizia iwapo una faida za kimaisha kwao
HahaahahahahhahBiashara matangazo
Huko PM waje kufanya nini??
Watu wa arsh wanaishi km walivyo mikoa mingine...km una ki herehere utapata tabu sana
NashukuruArusha ni moja ya mikoa iliyotekwa na makabila ya kila aina na hakuna huo ubaguzi unaouogopa. Usitishike hapo kuna wachaga, warangi, sambaa, nyaturu nk wengi sana kuliko wenye mkoa wao na Hawa ndio wanajifanya wenye Arusha na mambo ya kishamba.
Wabaguzi sana japo wengine hawajishitukiagi,wana ukabila,ukanda na ujuaji wa kipumbavu sana,wana chuki sana na watu wa kanda ya ziwa kwa sababu za kipumbavu vilevile za vyama na wivu wa kabila kubwa la Sukuma
Ukiona wanakupenda jua wanakuvizia iwapo una faida za kimaisha kwao