Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Jifunze kuvaa nguo kubwa kubwa na hata viatu viwe vikubwa kabisa kama Kingo
Haya bro
- tembea na kitabu cha dini muda wote,
- ukikosa kitabu cha dini basi jitahidi uwe na ilani ya CCM
- vaa barakoa hata ukiwa ndani mwenu, watu wa Arusha wanapenda kukohoa haijalishi wanapiga chabo
- angalia TBC kipindi cha aridhio, kitakuondolea upweke
- sikiliza hotuba za paramagamba kabudi ukiwa unaelekea kazini, he is besti motivational le speaker in the wild of chato vumbini
- epusha mawazo ya mara kwa mara, ili kujiepusha na punyeto
- pia angalia mechi za liverpool ukiwa mpweke kwani zinaongeza hamasa
Pole...Hongera kwa kuhamishwa wengine tunahama kutoka jobless, jobless pro, jobless pro max
Mwanaumewewe ni mwanamke au mwanaume? Tuanzie hapo.
Napenda ila wao wamezidiiKwahivo mkuu wewe hupendi fedha?
Wapi hapo?uje mim nilikua nashinda vijiwe vya alkansusu hapa na soko kuu sijui wanaita.ipo inauzwa imekolea maziwa balaaa.kuna msikt mkubwa hivii
AsanteArusha washamba mno, Bora usiwe na rafiki kabisa utakuwa safe huku watu wanafatiliana ka vijijini, pia kuwa makini kutembea jioni usije kabwa na kujeruhiwa na mapanga kisa simu ya techno
Haya mkuuUkipata muda pitia hapo sheikh Amri Abeid stadium upande wa ofisi za basi la loliondo kuna kijiwe cha muuza kahawa na pembeni kuna kuwa na mechi kali ya draft chagua moja upande wa kahawa au draft.
Nenda angalia na kusikiliza maongezi but day two utaanza kushare kama si kucheza draft na utapata rafiki.
Bila shaka unaishi matejo au unga ltd...poleArusha washamba mno, Bora usiwe na rafiki kabisa utakuwa safe huku watu wanafatiliana ka vijijini, pia kuwa makini kutembea jioni usije kabwa na kujeruhiwa na mapanga kisa simu ya techno
Nipo tu, kitaaakijidai mbishi wanakupiga panga!
pole ila umepanga mitaa gani?
Nime waonaKula ganja lao tembea na beto kiunoni ni wasela mavi
Sawa ntaji tahidi.Wako poa sana ukiwazoea,tafuta rafiki anayefaa taratibu utampata.
Above 33 ushinde kuishi na watu?ushindwe kujichanganya? Kazini huko je?? Chuoni nako....huku ni kuwajazia watu ubaya usio wastahili kwa kujiona bora kuliko.
Sio Matejo tu huku Chuga ushamba wa watu ni mkubwa kuliko zile sifa za kijinga wanazoji mwambafai aiseeBila shaka unaishi matejo au unga ltd...pole
Otherwise nitafute nikuunganishe na mdau jamaa yangu anaishi ngulelo.Haya mkuu