Naomba msaada wa mawazo wa namna ya kuishi na wakazi wa Arusha

Admin1988

JF-Expert Member
Mar 30, 2017
1,603
1,835
Habari wakuu,


Sikuwahi kabisa waza kuwa nitaishi Arusha,

Kutokana na tabia zao tangu nasoma nao, ukorofi, kujidai, misifa, ulevi, kupenda fedha n.k n.k

Sasa nina zaidi ya wiki tatu, sina pa kutembelea wala rafiki.

Naenda tu job, nikitoka narudi home kulala!

Nawaogopa hawa watu balaa wala kufanya nao mahusiano yoyote yale.

Naomba msaada, niishije Arusha?
 
  1. Tembea na kitabu cha dini muda wote,
  2. Ukikosa kitabu cha dini basi jitahidi uwe na ilani ya CCM
  3. Vaa barakoa hata ukiwa ndani mwenu, watu wa Arusha wanapenda kukohoa haijalishi wanapiga chabo
  4. Angalia TBC kipindi cha aridhio, kitakuondolea upweke
  5. Sikiliza hotuba za paramagamba kabudi ukiwa unaelekea kazini, he is besti motivational le speaker in the wild of chato vumbini
  6. Epusha mawazo ya mara kwa mara, ili kujiepusha na punyeto
  7. Pia angalia mechi za liverpool ukiwa mpweke kwani zinaongeza hamasa
 
  1. tembea na kitabu cha dini muda wote,
  2. ukikosa kitabu cha dini basi jitahidi uwe na ilani ya CCM
  3. vaa barakoa hata ukiwa ndani mwenu, watu wa Arusha wanapenda kukohoa haijalishi wanapiga chabo
  4. angalia TBC kipindi cha aridhio, kitakuondolea upweke
  5. sikiliza hotuba za paramagamba kabudi ukiwa unaelekea kazini, he is besti motivational le speaker in the wild of chato vumbini
  6. epusha mawazo ya mara kwa mara, ili kujiepusha na punyeto
  7. angalia mechi za liverpool ukiwa mpweke kwani zinaongeza hamasa
Aisee jamaa huwa mnafikilia nini eti wana kohoa 🤣😂🤦🤪
 
Ukipata muda pitia hapo sheikh Amri Abeid stadium upande wa ofisi za basi la loliondo kuna kijiwe cha muuza kahawa na pembeni kuna kuwa na mechi kali ya draft chagua moja upande wa kahawa au draft.

Nenda angalia na kusikiliza maongezi but day two utaanza kushare kama si kucheza draft na utapata rafiki.
 
Back
Top Bottom