Admin1988
JF-Expert Member
- Mar 30, 2017
- 1,603
- 1,835
Habari wakuu,
Sikuwahi kabisa waza kuwa nitaishi Arusha,
Kutokana na tabia zao tangu nasoma nao, ukorofi, kujidai, misifa, ulevi, kupenda fedha n.k n.k
Sasa nina zaidi ya wiki tatu, sina pa kutembelea wala rafiki.
Naenda tu job, nikitoka narudi home kulala!
Nawaogopa hawa watu balaa wala kufanya nao mahusiano yoyote yale.
Naomba msaada, niishije Arusha?
Sikuwahi kabisa waza kuwa nitaishi Arusha,
Kutokana na tabia zao tangu nasoma nao, ukorofi, kujidai, misifa, ulevi, kupenda fedha n.k n.k
Sasa nina zaidi ya wiki tatu, sina pa kutembelea wala rafiki.
Naenda tu job, nikitoka narudi home kulala!
Nawaogopa hawa watu balaa wala kufanya nao mahusiano yoyote yale.
Naomba msaada, niishije Arusha?