Habarini, Mimi niliajiriwa mwaka 2005 mwalimu wa sekondari kwa tiketi ya leseni, nilitimiza miaka 2 ndipo nikaenda masomoni.
Nilienda kusoma degree ya ugavi tofauti na ruhusa baadae. Nilihitimu 2010 sikurudi kazini hali iliyopelekea Mimi kuwa mtoro.
Niliamua kushugulikiaa suala la kurudi. Kazini mwaka 2018 mpaka sasa nimepata msamaha kwa katibu mkuu. Shida ni tangazo la waalimu kuondolewa kwenye payroll la mwàka 2017.
Je, mnanishauri nifanyeje nini kwani. Barua ya kurejeshwa kwenye payroll. Ninayo ishu ni utumishi tu.
Nilienda kusoma degree ya ugavi tofauti na ruhusa baadae. Nilihitimu 2010 sikurudi kazini hali iliyopelekea Mimi kuwa mtoro.
Niliamua kushugulikiaa suala la kurudi. Kazini mwaka 2018 mpaka sasa nimepata msamaha kwa katibu mkuu. Shida ni tangazo la waalimu kuondolewa kwenye payroll la mwàka 2017.
Je, mnanishauri nifanyeje nini kwani. Barua ya kurejeshwa kwenye payroll. Ninayo ishu ni utumishi tu.