G M S
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 502
- 53
Wana uchumi wenye uzoefu naomba ushauri nina deni Bayport wa sh milioni 9.9 lililotokana na mkopo wa sh, milioni 5.2 kiukweli riba zao ni kali,,,, nimekopa kwa miezi 36,,,,,,, bado miezi 3 niwe na miezi 24,, nimewaza kwenda kupunguza ikiwezekana kufuta deni kabisa,,, muhudumu kaniambia Sina haja ya kuandaa hela pindi niendapo tutaandikishana tu mkataba na pia kasema huo mkataba hatutajali riba wataangalia nimefikisha kiasi changu cha deni na kumaxmize makato ili nimalize mapema je ni sawa??? Na kwa hesabu zangu miezi hiyo 24 ntakuwa nimelipa milioni 6 kama riba hawataangalia inamaana deni Sina inamaana wataniandikisha mkataba wa kufuta deni????? Msaada pls kwa uzoefu wenu