euca
JF-Expert Member
- Apr 6, 2015
- 3,734
- 4,075
Habari za asubuhi wana jamiiforums
Bila kupoteza muda ni kwamba nina sister wangu huwa anasafiri kwenda southafrica na akifika huko huwa anakaa kwa miezi mitatu au chini ya hapo but mwezi wa 9 alisafiri hadi huko na akawa huko mpaka mwezi huu tarehe 20. Hivyo alivyofika hapo uwanjani wakati anakuja bongo kwenye ofisi za uhamiaji baada ya kutoa passport ikapigwa mhuri na akapewa barua au form ambayo nimeweka chini hapo
Mimi na yeye hatupo vizuri kwenye hiyo lugha ya malikia lakini nahisi kama anakosa fulani. Kwa yeyote anaelewa au aliyewahi kupatwa na issue kama hyo anipe maelekezo kuhusu hiyo form au barua na kitu gani kinapaswa kufanyika maana yeye ni mtu wa kwenda sana huko south.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila kupoteza muda ni kwamba nina sister wangu huwa anasafiri kwenda southafrica na akifika huko huwa anakaa kwa miezi mitatu au chini ya hapo but mwezi wa 9 alisafiri hadi huko na akawa huko mpaka mwezi huu tarehe 20. Hivyo alivyofika hapo uwanjani wakati anakuja bongo kwenye ofisi za uhamiaji baada ya kutoa passport ikapigwa mhuri na akapewa barua au form ambayo nimeweka chini hapo
Mimi na yeye hatupo vizuri kwenye hiyo lugha ya malikia lakini nahisi kama anakosa fulani. Kwa yeyote anaelewa au aliyewahi kupatwa na issue kama hyo anipe maelekezo kuhusu hiyo form au barua na kitu gani kinapaswa kufanyika maana yeye ni mtu wa kwenda sana huko south.
Sent using Jamii Forums mobile app