Bwana asifiwe,,
Mimi ni muumini wa kanisa la wadvetista msabato
katika maisha yangu nilikuwa na ndoto ya kwenda kusomea uchungaji tangu nikiwa shule ya msingi
lkni nilipomaliza kidato cha nne nilitafuta nafasi nikaambiwa hawachukui kidato cha nne,,au labda nikafanye mtihani unaoitwa mature entry(kama nimekosea mnirekebishe) lkn masharti ya mtihani ule ni kuwa na umri usiopungua miaka 22
baada ya kuonekana nimekosa vigezo hivyo niliamua kwenda kusomea ualimu wa shule ya msingi(mpaka ss mimi ni mwalimu)
lakini bado nina nia ya kwenda kusomea uchungaji lkni cjui nifanyaje ili nifanikishe ndoto yangu
NB;mimi niko tyr kuacha utumishi wa serikali kama nitaona kuna mlango wa kwenda kufanikiwa ndoto yangu
Mimi ni muumini wa kanisa la wadvetista msabato
katika maisha yangu nilikuwa na ndoto ya kwenda kusomea uchungaji tangu nikiwa shule ya msingi
lkni nilipomaliza kidato cha nne nilitafuta nafasi nikaambiwa hawachukui kidato cha nne,,au labda nikafanye mtihani unaoitwa mature entry(kama nimekosea mnirekebishe) lkn masharti ya mtihani ule ni kuwa na umri usiopungua miaka 22
baada ya kuonekana nimekosa vigezo hivyo niliamua kwenda kusomea ualimu wa shule ya msingi(mpaka ss mimi ni mwalimu)
lakini bado nina nia ya kwenda kusomea uchungaji lkni cjui nifanyaje ili nifanikishe ndoto yangu
NB;mimi niko tyr kuacha utumishi wa serikali kama nitaona kuna mlango wa kwenda kufanikiwa ndoto yangu