msapinungu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 554
- 165
Endelea kuomba utapata.endelea kuomba, ila jaribu kuandika kiswahili fasaha...
Endelea kuomba utapata.endelea kuomba, ila jaribu kuandika kiswahili fasaha...
Vzr Mkuu!
Futa kwanza nadharia ya kusomea uchungaji. Sema unakwenda kusomea theology. Kimsingi uchungaji hawasomei. Na kuna tofauti kubwa kati ya uchungaji na theology. Pale Tumaini Iringa wanabeba hadi kidato cha nne.
Kumbe Wasabato wanasomea Uchungaji...??? Nilikuwa sijui....Kumbe mnayo Theology...??
Hawa watu kwa ku-copy na ku-paste hajambo.... Anyway Wasabato siyo Wakristo....Wanajivika joho la Ukristo...Dahh
kama vipi un PM ili tuongee vzr zaidi
Unapingana na General Conference! wewe ni nani...?
Hujapata PM yng tangu Jana? Nilikupm tangu Jana angalia huko kwa pm!
JAcobunge umenikumbusha jina la mwali JAKODONDI, mtaalamu wa bookiping na Commerce Nyabehore Sekondari alikuwa msabatho ila jumamosi ukipeleka maswali ya bookkeeping, anayapotezaa
Kwa hawa wanakondoo wa sasa hivi huna haja ya kusomea uchungaji.
Wakusanye wapige ungo ungo watatoa Sadaka tu.