kibori nangai
JF-Expert Member
- Jan 14, 2015
- 1,066
- 1,315
Habari wana jamvi,
Naposti kwa niaba ya jamaa yangu.
Amekuwa anasumbuliwa na mafua toka mwaka 2006. Asubuhi akiamka anapiga chafya sana, na mara nyingi akitembelea maeneo ya baridi ndio hali inazidi kuwa mbaya sana.
Anaweza kuumwa mafua hadi anapotoka maeneo hayo.
Amepima mara nyingi akambiwa ana aleji ya na baridi na mambo mengi ambayo katika maisha ya kawaida huwezi kuepuka.
Mdau anaomba msaada afanye nini aweze kuondokana na hii hali. Yupo tayari kwa ushauri wowote, msaada wowote kwa gharama yoyote.
Amekuwa muhudhuriaji wa maduka ya dawa kununua madawa yote aleji.
Msaada tafadhali nafahamu wapo watakaopinga lkn sitojali wale watakaoshuri vyema. Nitaufikisha kama watakavyowasilisha.
Ahsanteni sana.
Nitawashukuruni sana msaada utakaosaidia kukuona hii hali.
Naposti kwa niaba ya jamaa yangu.
Amekuwa anasumbuliwa na mafua toka mwaka 2006. Asubuhi akiamka anapiga chafya sana, na mara nyingi akitembelea maeneo ya baridi ndio hali inazidi kuwa mbaya sana.
Anaweza kuumwa mafua hadi anapotoka maeneo hayo.
Amepima mara nyingi akambiwa ana aleji ya na baridi na mambo mengi ambayo katika maisha ya kawaida huwezi kuepuka.
Mdau anaomba msaada afanye nini aweze kuondokana na hii hali. Yupo tayari kwa ushauri wowote, msaada wowote kwa gharama yoyote.
Amekuwa muhudhuriaji wa maduka ya dawa kununua madawa yote aleji.
Msaada tafadhali nafahamu wapo watakaopinga lkn sitojali wale watakaoshuri vyema. Nitaufikisha kama watakavyowasilisha.
Ahsanteni sana.
Nitawashukuruni sana msaada utakaosaidia kukuona hii hali.