Naomba msaada wa kutatua tatizo la kutokwa jasho isivyo kawaida!

Darren2019

JF-Expert Member
Nov 23, 2019
1,111
2,377
Nina ndugu yangu amekuwa anatokwa na jasho isivyo kawaida, mwili mzima, anatokwa jasho hata kama kuna baridi. Ukizingatia anaishi Arusha.

Akitoka bafuni kufika chumbani tayari ashalowa.

Je, hili ni tatizo? Kama ndio tiba yake ni nin?

Asante.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
aende hospitali akaelezee kwa urefu zaid kwa mtaalam atasaidiwa , visababishi vipo vingi ila wewe umesema hiyo tu, nadhan yeye anamalezo zaid so atapata msaada bora akifika kwa Daktari
 
Itafute hii dawa inaitwa Driclor. THANK ME LATER. Pia wale mnaotokwa na majasho ya kwapa hio dawa ni kiboko yake yaani kwapa linakuwa kavu 100%

images%20(37).jpeg
 
Mabadiliko ya hali ya hewa na aina ya vyakula anavyokula Kama anatumia kiasi kikubwa Cha vyakula vyenye fati lazima hiyo hali itokee, ajaribu kufanya mazoezi baada ya mazoezi ya viungo arelax walau kwa dakika 15 harafu akaoge, madiliko atayaona ndani ya siku 4.
 
Sasa mkuu unapozuia jasho kutoka naturally huoni hatari hiyo?

Ukizuia kwenye kwapa basi yatatoka mgongoni/usoni/Mikononi hata kwa njia ya mkojo, bado chance ya majasho kutoka iko pale pale. Ishu ni kustopisha kwenye kwapa pekee.
 
Kwann uzuie jasho kutoka?
Nyie ma Dr na ma dk hebu toeni faida na hasara za jasho ili mhusika aamue
 
Back
Top Bottom