rabyn kiwinga
Member
- Sep 21, 2014
- 44
- 28
"phone ACK error ( get infor)_id_03_01" by gsm alladin V2 1.34
msaada mwenye kufahamu namna ya kusolve io kitu..ahsanteni!!
msaada mwenye kufahamu namna ya kusolve io kitu..ahsanteni!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajaribu kurepair IMEI?"phone ACK error ( get infor)_id_03_01" by gsm alladin V2 1.34
msaada mwenye kufahamu namna ya kusolve io kitu..ahsanteni!!
dah google nimepita adi you tube kila mtu anaongea lake mkuu!!...Unajaribu kurepair IMEI?
Next time hiki ulichoandika kisearch kwenye google. Utaletewa mpaka solutions zake.
Humu kumejaa watu miyeyusho kibao. Wa kwanza kashakwambia Tecno siyo simu
ni ya jamaa wangu anataka iflashiweKwa nini usinunue simu mpya nyingine mkuu mbona mnajidharirisha sana vijana wa sasa hivi
kuiflash imedaka virus
atufanani mkuu,uo uwezo wa iphone sina!!Tumeongea mpaka na machozi juu,chonde chonde tecno sio simu hamtuelewi sasa wacha ujifunze kitu kipya
Badilisha tool,tumia nck au miraclekuiflash imedaka virus
miracle ina crush inapoanza tu ku'read info
Umejarbu kuformat kwanza? Sp flashtool nayo imegoma?miracle ina crush inapoanza tu ku'read info
sp flash tool inaleta error mwishoni.."Umejarbu kuformat kwanza? Sp flashtool nayo imegoma?
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Inaonekana firmware yako haimatch na hyo simu kwenye secro.img au baadhi ya mafile ya hyo firmware yame corrupt. Jarb kuflash bila kutick secro.img partition.sp flash tool inaleta error mwishoni.."
BROM ERROR : S_SECURITY_SECRO_HASH_INCORRECT (6126) , MSP ERROE CODE : 0x00
Jamaaa falaa snaaa..Tumeongea mpaka na machozi juu,chonde chonde tecno sio simu hamtuelewi sasa wacha ujifunze kitu kipya
Sasa kaka siutumie SP FLASH TOOLni ya jamaa wangu anataka iflashiwe