Mke wangu akiwa na stress huwa anatokwa povu na kupaparika kama kuku akilala

Jay10

JF-Expert Member
Jul 9, 2018
709
533
Habari ya wakati huu wadau wa afya jukwaa, naomba kujuzwa pia kushauriwa juu la hili tatizo,

Mke wangu ikotokea ana mawazo au stress sana akitulia sehem moja hususan kalala huanza kugeuza shingo kulia na kushoto mara povu mdomoni na kukoroma huku akirusha mikono na miguu huku na kule akiwa amefumba macho then anatulia kidogo na kuendelea tena kwa muda wa zaidi dk 10.

Je, hili ni tatzo gani kitaalam na je huduma gani nimpe ikitokea hivyo? Je, kuna dawa yake? wakati huo huwa hata sijui la kufanya zaid kumpepea au kumpeleka sehemu yenye hewa au upepo.
 
are seizures the same as "kifafa"???
Yes ndio kifafa...!! Hali ya stress ya mke huongeza activity za ubongo ambazo huzalisha impulse zinazodisturb electrical trasmission kwenye ubongo na kupelekea Kifafa.

Ushauri. Kama mkeo hana historia ya Kuumia kichwani au kupata Homa kali hasa utotoni bhasi inawezekana kabisa Stress zikawa ndo chanzo cha hiyo hali kuna dawa nyingi zinazotibu hiyo hali lakini Muhimu kujua chanzo cha hiyo hali ili kutibu chanzo kuliko matokeo.

Nenda hospital mapema utafanyiwa vipimo ikiwa CT scan kujua kama kuna shida kichwani then unaweza peqa dawa za Stress kama hichi ndio chanzo. Pole sana
 
Wakati unatafuta suluhisho la kitabibu, Ita watumishi wa Mungu washushe maombi heavy, anaweza kuwa anasumbuliwa na mapepo au nguvu za giza. Wapo watumishi wana karama sana ya ku deal na situation kama hizo, and trust, atapona na kuwa sawa!!
 
Yes ndio kifafa...!! Hali ya stress ya mke huongeza activity za ubongo ambazo huzalisha impulse zinazodisturb electrical trasmission kwenye ubongo na kupelekea Kifafa.

Ushauri. Kama mkeo hana historia ya Kuumia kichwani au kupata Homa kali hasa utotoni bhasi inawezekana kabisa Stress zikawa ndo chanzo cha hiyo hali kuna dawa nyingi zinazotibu hiyo hali lakini Muhimu kujua chanzo cha hiyo hali ili kutibu chanzo kuliko matokeo.

Nenda hospital mapema utafanyiwa vipimo ikiwa CT scan kujua kama kuna shida kichwani then unaweza peqa dawa za Stress kama hichi ndio chanzo. Pole sana
Asante sana ndugu, kwa ninavyomfaham ni kwamba hali inaweza isimtokee kabsaa hata mwaka au miaka kama hajapata msongo mkubwa wa mawazo au stress nying.....hata niliwaza sanaa wakat wa kujfungua itakiwaje kama atapoteza faham hvyo lakin cha ajab alijifungia salama kabsa bila kukata moto tena kwa njia ya kawaida kabsa na ss tunalea mtoto 6mnth of Age. juz tu amekuwa na stress usiku tukiwa tumelala akaanza kuptia hyo hali.

Niliwahi kumuuliza hata b4 sijamuoa baada kupoteza faham wakat akiwa blid, akaniambia hosptal aliambiwa ni suala la mishipa kuwa over pressured hvyo hatakiw kuwaza sana.....ss nataman kujua huduma ya kwanza nayowezampatia ikimtokea hyo hali pia kama kuna tiba nifuatilie.
 
Wakati unatafuta suluhisho la kitabibu, Ita watumishi wa Mungu washushe maombi heavy, anaweza kuwa anasumbuliwa na mapepo au nguvu za giza. Wapo watumishi wana karama sana ya ku deal na situation kama hizo, and trust, atapona na kuwa sawa!!
Asante kwa ushauri nitaufanyia kazi
 
Asante sana ndugu.....kwa ninavyomfaham ni kwamba hali inaweza isimtokee kabsaa hata mwaka au miaka kama hajapata msongo mkubwa wa mawazo au stress nying.....hata niliwaza sanaa wakat wa kujfungua itakiwaje kama atapoteza faham hvyo lakin cha ajab alijifungia salama kabsa bila kukata moto tena kwa njia ya kawaida kabsa na ss tunalea mtoto 6mnth of Age. Juz tu amekuwa na stress usiku tukiwa tumelala akaanza kuptia hyo hali...
Bhasi hapa sio tiba ya Kifafa ni tiba ya Stress..!! Tiba sahihi ni jitahidi asipate stress itakuwa tiba sahihi ongea nae vizuri nini tatizo yani itakuwa best solution.

Kuna dawa za kupunguza msongo wa mawazo but kwa scenario yake haina haja ya hizo dawa just kaa nae karibu kuwa mfariji wake. But kuwa na dawa ndani endapo atapata hiyo hali ambapo ni CARBAMAZEPINE 200mg au Phernobabital just ziwe standby incase akipata kifafa tena.
 
Asante sana ndugu.....kwa ninavyomfaham ni kwamba hali inaweza isimtokee kabsaa hata mwaka au miaka kama hajapata msongo mkubwa wa mawazo au stress nying.....hata niliwaza sanaa wakat wa kujfungua itakiwaje kama atapoteza faham hvyo lakin cha ajab alijifungia salama kabsa bila kukata moto tena kwa njia ya kawaida kabsa na ss tunalea mtoto 6mnth of Age........juz tu amekuwa na stress usiku tukiwa tumelala akaanza kuptia hyo hali......


Niliwahi kumuuliza hata b4 sijamuoa baada kupoteza faham wakat akiwa blid.....akaniambia hosptal aliambiwa ni suala la mishipa kuwa over pressured hvyo hatakiw kuwaza sana.....ss nataman kujua huduma ya kwanza nayowezampatia ikimtokea hyo hali pia kama kuna tiba nifuatilie...
Umenikumbusha mwalimu wangu aliwahi pata shida ka hyo baada ya kujifungua so stress zake zinaweza kuwa post natal depression, Ila jaribuni ku deal naye aache stress pia ajaribu kuhudhuria ibada na maombi
 
Ebhana eeh huku duniani kuna watu wanashida aise.

Ila mkuu pole sana. na hongera pia kwa kumvumilia mtoto wa watu kwani kuna baadhi tayari wangesha toka nduki na kutafuta namna ya kuoa tena .

Mwenyezi mungu awe pamoja Nanyi Amen

Sent using Jamii Forums mobile app
Asantee Upendo huweza yote.....nilihitaj mwanamke mwenye akil ya maisha, anayejitambua na kujtuma......mungu aminipa lakin hakup vyote siku zote.....changamoto siku zote hazkosekan
 
Yes ndio kifafa...!! Hali ya stress ya mke huongeza activity za ubongo ambazo huzalisha impulse zinazodisturb electrical trasmission kwenye ubongo na kupelekea Kifafa.

Ushauri. Kama mkeo hana historia ya Kuumia kichwani au kupata Homa kali hasa utotoni bhasi inawezekana kabisa Stress zikawa ndo chanzo cha hiyo hali kuna dawa nyingi zinazotibu hiyo hali lakini Muhimu kujua chanzo cha hiyo hali ili kutibu chanzo kuliko matokeo.

Nenda hospital mapema utafanyiwa vipimo ikiwa CT scan kujua kama kuna shida kichwani then unaweza peqa dawa za Stress kama hichi ndio chanzo. Pole sana
Mkuu hii hali inaweza ikamtokea mwenye stroke... Father angu alipataga stroke miaka 8 iliyopita, sasaivi yupo fit..anatembea yaani ukimuona kama haumwi lakini mkono na mguu vimekakamaa tu kimtindo..shida inakuja, ikifika mwezi wa 6 kila mwaka lazima imtokee hii hali..anaanguka vibrate huku mapovu yanamtoka then anazimia anakoroma baada ya muda akiamka anakuwa kama amepoteza kumbukumbu hivi ila akikaa masaa machache anarudi sawa...inaweza kuwa ni kifafa?
 
Mkuu hii hali inaweza ikamtokea mwenye stroke... Father angu alipataga stroke miaka 8 iliyopita, sasaivi yupo fit..anatembea yaani ukimuona kama haumwi lakini mkono na mguu vimekakamaa tu kimtindo..shida inakuja, ikifika mwezi wa 6 kila mwaka lazima imtokee hii hali..anaanguka vibrate huku mapovu yanamtoka then anazimia anakoroma baada ya muda akiamka anakuwa kama amepoteza kumbukumbu hivi ila akikaa masaa machache anarudi sawa...inaweza kuwa ni kifafa?
Mzee wako anaishi mkoa gani? Kama ni mikoa ya baridi bhasi miezi hiyo Tokana na stroke kuna chance kubwa Blood vessel zina constrict kiasi kupelekea shida ya Flow ya blood kwa kiasi flani so hali inakuwa temporary na baada ya muda blood vessels zinarudi katika hali ya kawaida nae anakuwa normal..!! Actually ni aina ya Kifafa pia ukiangalia ana historia ya stroke so mostly like bado kichwa hakijaa vizuri. Lakini kuna kipindi hali hii itaishaaa hata usiwe na shaka sana.
 
Back
Top Bottom