Jay10
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 709
- 533
Habari ya wakati huu wadau wa afya jukwaa, naomba kujuzwa pia kushauriwa juu la hili tatizo,
Mke wangu ikotokea ana mawazo au stress sana akitulia sehem moja hususan kalala huanza kugeuza shingo kulia na kushoto mara povu mdomoni na kukoroma huku akirusha mikono na miguu huku na kule akiwa amefumba macho then anatulia kidogo na kuendelea tena kwa muda wa zaidi dk 10.
Je, hili ni tatzo gani kitaalam na je huduma gani nimpe ikitokea hivyo? Je, kuna dawa yake? wakati huo huwa hata sijui la kufanya zaid kumpepea au kumpeleka sehemu yenye hewa au upepo.
Mke wangu ikotokea ana mawazo au stress sana akitulia sehem moja hususan kalala huanza kugeuza shingo kulia na kushoto mara povu mdomoni na kukoroma huku akirusha mikono na miguu huku na kule akiwa amefumba macho then anatulia kidogo na kuendelea tena kwa muda wa zaidi dk 10.
Je, hili ni tatzo gani kitaalam na je huduma gani nimpe ikitokea hivyo? Je, kuna dawa yake? wakati huo huwa hata sijui la kufanya zaid kumpepea au kumpeleka sehemu yenye hewa au upepo.