Hapana hakuomba kahamishwa na mwajiri, ngoja niombe hiyo barua nilete hapa maana nimestuka baada ya kuona hiyo barua nikadhani ndio utaratibu mpya umeanza maana nimetafuta huo waraka bila mafanikio ndio maana nikaja jukwani hapa kujua je upo au imetumika janja janja watu wapige mafunguIwe iliomba uhamisho au ulihamishwa kwa matakwa ya ofisi yako bado una haki ya kulipwa stahiki za mtu anayehama.
Labda tu pale mnapokubaliana katika terms ya uhamisho ulioomba kuwa utajigharamia wewe mwenyewe.
Akikubali kuhamishwa bila pesa basi atakuwa lofa. Labda ni uhamisho wa ndani ambao atahamia kwenye eneo karibu na kituo chake cha kazi cha awaliHapana hakuomba kahamishwa na mwajiri, ngoja niombe hiyo barua nilete hapa maana nimestuka baada ya kuona hiyo barua nikadhani ndio utaratibu mpya umeanza maana nimetafuta huo waraka bila mafanikio ndio maana nikaja jukwani hapa kujua je upo au imetumika janja janja watu wapige mafungu
Nyaraka ya serikali haitakiwi kuanikwa mtandaoni wanaweza kukubadilishia kibaoHapana hakuomba kahamishwa na mwajiri, ngoja niombe hiyo barua nilete hapa
KahamishwaKahamishwa au aliomba uhamisho mwenyewe?
Akikubali kuhamishwa bila pesa basi atakuwa lofa. Labda ni uhamisho wa ndani ambao atahamia kwenye eneo karibu na kituo chake cha kazi cha awali
Safi sana kwa kuongezea minofuHata karibu na kituo cha kazi ni lazima alipwe disturbance allowance.
Hakuna kitu kama hicho. Kama hukuomba kuhama na ni mwajiri amekuhamisha ni haki yako kulipwaHapana hakuomba kahamishwa na mwajiri, ngoja niombe hiyo barua nilete hapa maana nimestuka baada ya kuona hiyo barua nikadhani ndio utaratibu mpya umeanza maana nimetafuta huo waraka bila mafanikio ndio maana nikaja jukwani hapa kujua je upo au imetumika janja janja watu wapige mafungu
Hata huo anastahili kulipwaAkikubali kuhamishwa bila pesa basi atakuwa lofa. Labda ni uhamisho wa ndani ambao atahamia kwenye eneo karibu na kituo chake cha kazi cha awali
Sheria ndio ipo hivyo ila uhalisia haupo hivyo. Waajiri ni untouchable wanafanya vile wanavyojisikia, wanalipa pale tu wanapoona inafaa kulipa na pia kwa watu wawatakao wao.Hakuna kitu kama hicho. Kama hukuomba kuhama na ni mwajiri amekuhamisha ni haki yako kulipwa
Sajo kwakua mwajiri ana boss wake je wakienda ngazi za juu uko haiwezi wasaidia wakapata stahiki zaoSheria ndio ipo hivyo ila uhalisia haupo hivyo. Waajiri ni untouchable wanafanya vile wanavyojisikia, wanalipa pale tu wanapoona inafaa kulipa na pia kwa watu wawatakao wao.
Wanaweza, waandike malalamiko Tume ya Utumishi wa Umma. Ila yatachukua zaidi ya mwaka kupata nafasi ya kusikilizwaSajo kwakua mwajiri ana boss wake je wakienda ngazi za juu uko haiwezi wasaidia wakapata stahiki zao
Du!Wanaweza, waandike malalamiko Tume ya Utumishi wa Umma. Ila yatachukua zaidi ya mwaka kupata nafasi ya kusikilizwa
Nadharia watu wa hovyo hawalipi hata miezi 4 unadai ... ujinga na unakuta eti taasisi kubwa kabisa...Mtumishi wa Umma anapopata uhamisho wa bila kujiombea au wa kujiombea kama amekaa kwa miaka 5 au zaidi katika kituo anachoomba kuhama anastahili kulipwa malipo ya uhamisho kama ifuatavyo:
View attachment 1797038
Malipo haya yanatakiwa kufanywa wakati wa uhamisho na sio kama madai. Yaani Mtumishi hapaswi kujisafirisha ili baadae ndio afanye madai ya fedha aliyotumia. Mwajiri anatakiwa kuhakikisha ametenga fedha ya kumhamisha mtumishi ndipo afanye uhamisho. Muda wa Malipo ya madai haya ni ndani ya siku 14 toka mtumishi aliporipoti kituo kipya, nje ya hapo inapaswa yawe ni makubaliano ya mwajiri na mwajiriwa, akuombe uvumilie.
Hupati ng'o waajiri wengi ni dhulma.Sajo kwakua mwajiri ana boss wake je wakienda ngazi za juu uko haiwezi wasaidia wakapata stahiki zao