Habari Jamii forums,
Mimi ni graduate kutoka chuo cha IFM , class of 2019 , nimesomea degree ya Banking and Finance.
Naomba msaada wa kupata kazi as Graduate Trainee , wakati tukiwa chuo nilipata nafasi ya kufundishwa na bank moja jinsi graduate trainee / graduate management inavyofanya kazi , nilitokea kuipenda sana lakini pia kuweza kufahamu napenda kufanya nini kwenye career yangu sababu nakuwa na zunguka departments mbalimbali hizi ni baadhi ya sababu.
CV yangu kwa ufupi;
a) Work Experience
1.Retention Team Leader - July 2021 - to date
2.Customer service representative ( retention specialist) - Feb 2021 to July 2021
Achievements;
-Awarded certificate of stunning performance first quarter- 2nd place
-Employee with highest collection of revenue May with KPI of 90%
-Over performed May target by 8% (108).
3.Social media marketer - Freelance (Dec 2019 - to date)
Achievements;
-Generated sales ( bookings)
-Generated leads
-Increased followers and website traffic.
4.Sales and Marketing Executive- (Oct 2019 - April 2020)
Achievements;
-Generated sales
-Generated leads
5.Field Attachment ( Practical Training)
Based on structured rotations, Investment, Finance & Sales .
b) Skills;
Graduate trainee zinakuwa applicable mpaka miaka 2 mbele baada ya graduation huu ndo mwaka wangu wa mwisho kujaribu kutumiza ndoto yangu.
Nimejaribu kuomba sana ila sijafanikiwa, GPA yangu ni 3.2 mwenye msaada naomba anisaidie , kama utapenda kusoma zaidi cv yangu naomba uni pm.
Ahsante
Mimi ni graduate kutoka chuo cha IFM , class of 2019 , nimesomea degree ya Banking and Finance.
Naomba msaada wa kupata kazi as Graduate Trainee , wakati tukiwa chuo nilipata nafasi ya kufundishwa na bank moja jinsi graduate trainee / graduate management inavyofanya kazi , nilitokea kuipenda sana lakini pia kuweza kufahamu napenda kufanya nini kwenye career yangu sababu nakuwa na zunguka departments mbalimbali hizi ni baadhi ya sababu.
CV yangu kwa ufupi;
a) Work Experience
1.Retention Team Leader - July 2021 - to date
2.Customer service representative ( retention specialist) - Feb 2021 to July 2021
Achievements;
-Awarded certificate of stunning performance first quarter- 2nd place
-Employee with highest collection of revenue May with KPI of 90%
-Over performed May target by 8% (108).
3.Social media marketer - Freelance (Dec 2019 - to date)
Achievements;
-Generated sales ( bookings)
-Generated leads
-Increased followers and website traffic.
4.Sales and Marketing Executive- (Oct 2019 - April 2020)
Achievements;
-Generated sales
-Generated leads
5.Field Attachment ( Practical Training)
Based on structured rotations, Investment, Finance & Sales .
b) Skills;
- learning quickly ( social media marketing is self taught through online and i have succeeded working with different safari companies)
- Customer retention
- Customer service
- Sales and Marketing
- Digital marketing
Graduate trainee zinakuwa applicable mpaka miaka 2 mbele baada ya graduation huu ndo mwaka wangu wa mwisho kujaribu kutumiza ndoto yangu.
Nimejaribu kuomba sana ila sijafanikiwa, GPA yangu ni 3.2 mwenye msaada naomba anisaidie , kama utapenda kusoma zaidi cv yangu naomba uni pm.
Ahsante