CHE GUEVARA-II
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 571
- 156
Habari za jioni wadau?
Naomba msaada wa kujua total overtime, gross na net salary ya mtu (KWA MWEZI), kwa mwenye basic salary ya 2,192,540 Tshs anayolipwa kwa kufanya saa 45 kwa wiki moja, i.e Mon-Fri (08:00-17:00) na Sat (08:00-13:00).
Lakini akatakiwa kufanya na overtime ya kila siku kwa 12 hours (11 working hrs and 1 hr for meals) per day; 7 days a week. Yaani bandika bandua.
Likizo siku 28 tu kwa mwaka.
Naomba mchanganuo wa OVERTIME, GROSS, NSSF, PAYE na NET, bila kuhusisha public holidays.
Naomba msaada wa kujua total overtime, gross na net salary ya mtu (KWA MWEZI), kwa mwenye basic salary ya 2,192,540 Tshs anayolipwa kwa kufanya saa 45 kwa wiki moja, i.e Mon-Fri (08:00-17:00) na Sat (08:00-13:00).
Lakini akatakiwa kufanya na overtime ya kila siku kwa 12 hours (11 working hrs and 1 hr for meals) per day; 7 days a week. Yaani bandika bandua.
Likizo siku 28 tu kwa mwaka.
Naomba mchanganuo wa OVERTIME, GROSS, NSSF, PAYE na NET, bila kuhusisha public holidays.