Mzelokotwa
Member
- Aug 14, 2011
- 21
- 20
Mwenye kufahamu namna ya kuinstall modem ya zain kwenye computer inayo run fedora 15 OS anisaidie tafadhari,nimekwama! Ninatumia os mbili win7 na fedora15.wins hakuna shida ila huko kwenye linux ndio ishu.
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us