Naomba msaada wa kisheria

Kitia

JF-Expert Member
Dec 2, 2006
418
74
Natanguliza salamu.

Nina jamaa yangu ambaye kwa bahati mbaya ana matatizo ya akili (Alzheimer) ambayo yanamfanya asiweze kumudu shughuli zake za kila siku. Amekwenda kwa daktari na ikathibitishwa kwa vipimo kuwa anao ugonjwa huo. Daktari ameandika testimonial kuwa jamaa yangu hamudu tena shughuli zote muhimu km benki nk na anahitaji uongozi wa jamaa wa karibu. Ni njia zipi ambazo tunapaswa kufuata kisheria ili hati ya kuruhusu kuwa na msaidizi/msimamizi kutolewa?
 
Back
Top Bottom