Kama huna hata shahidi ama jumbe za simu andika maumivu... Akiwa smart hata ukienda police utaangukia pua...Habari zenu wakuu?
nimemkopesha mtu bila maandikishiano, kwenye kulipa ananikwepa.
Naweza kumfungulia kesi?
Naomba taratibu zake.
Habari zenu wakuu?
nimemkopesha mtu bila maandikishiano, kwenye kulipa ananikwepa.
Naweza kumfungulia kesi?
Naomba taratibu zake.
Habari zenu wakuu?
nimemkopesha mtu bila maandikishiano, kwenye kulipa ananikwepa.
Naweza kumfungulia kesi?
Naomba taratibu zake.
Habari zenu wakuu?
nimemkopesha mtu bila maandikishiano, kwenye kulipa ananikwepa.
Naweza kumfungulia kesi?
Naomba taratibu zake.
Asante mkuu, japo nina voice record za makubaliano pamoja na conversation text message za mm na yy juu ya makubaliano.