mosktear
Member
- Nov 9, 2014
- 7
- 0
Tulikua tunacheza mchezo wa kupeana hela (upatu) wa 500k kila mwezi ila baada ya mizunguko kadhaa kuisha kuna ikafika zamu yangu kupokea ila katika washiri, mshiriki mmoja akaomba atanipa mwezi unaofwata kwani amekwama kutokana na matatizo yanayo mkabili.
Nikamwelewa lakini tokea pale ni miezi 6 sasa kila nikimuuliza anaishia kunipa kalenda kwamba nitakupantakupa na siku zinaenda, nafikiria kwenda kwenye vyombo vya dola (polisi) ila sinaufahamu wowote kuhusu kesi kama hizi naomba elimu kwa wanaofahamu nitumie njia gani niweze pata haki yangu
Nikamwelewa lakini tokea pale ni miezi 6 sasa kila nikimuuliza anaishia kunipa kalenda kwamba nitakupantakupa na siku zinaenda, nafikiria kwenda kwenye vyombo vya dola (polisi) ila sinaufahamu wowote kuhusu kesi kama hizi naomba elimu kwa wanaofahamu nitumie njia gani niweze pata haki yangu