Naomba msaada wa kimawazo wa kumsaidia mdogo wangu

Naiondoa Law kwenye list. Ni Tumaini na Mzumbe pekee wanatoa ya miaka mitatu. Vyuo vingine Law ni miaka minne, ongeza na miwili sijui mmoja wa Law School.
Zingatia form six katoka mwaka 2017.

Na hiyo Law sio ugali kila mtu aweze. Kuna kada unatakiwa usome ukiwa na kipaji sio uvamie. Mtu aliyeacha chuo kimagendo hunishawishi kama anaweza faa kwa Law.
mwaka wetu law Udsm walikuwa wanachukua Division one tu.

Siku hizi wameacha?
 
Hawez kupata cha muhimu aende tcu watamuelekeza jinsi ya kuandika barua ataenda udsm afu atakuja kumalizia tena tcu anaweza kufanya ata saizi kipindi dirisha limefungwa ili likufunguliwa apate rasi ibo watamtema afu hatokuwa anaelewa shida nn
 
Habari zenu wakuu,

Nina mdogo wangu alihitimu Form 6 mwaka 2017 na kupata division two na kuchaguliwa kwenda UDSM kusomea BED akaripoti kama mwezi hivi zikatokea nafasi za kwenda JKT akaacha chuo na kwenda huko na bahati mbaya zaidi hakuhairisha masomo kisheria aliondoka tu kienyeji.

Sasa wiki hii katupigia simu kua wanajiandaa kurudishwa mwezi wa 12 kwani mkataba wao JKT umeisha na hawakufanikiwa kupata ajira ndani ya hiyo miaka 3.

Kiukweli imetuumiza sana ila ndio hamna namna, so nilikua naombeni mawazo yenu wadau nianzie wapi jinsi ya kumsaidia mwenye wazo lolote aniambie tu. Na hata mwenye uwezo wa kumsaidia hata kiajira cha kijishikiza usisite kumsaidia.

Na je, nauliza km mtu aliacha chuo kienyeji anaweza ku-apply tena na akapata?

Asanteni
Aanze upya, hizo ndo opportunity costs, uzuri tayari ana pesa, hata akikosa boom ajilipie.
 
Pamoja na kwamba sina ushauri kwa hili, lakini ngoja niseme hivi.....
Binafsi nimekua nikiwaambia watoto wangu mara kadhaa kwamba, hata uwe na akili kama malaikia then ukakosa adabu/nidhamu, wewe ni sawa na takataka.
Alicho kifanya huyo mdogo wako ni utovu mkubwa wa nidhamu kwa kuacha chuo kienyeji. Na nadhani alijaribu kufanya shortcut ili kufikia mafanikio chap, na leo sasa imemgharimu yeye na inawaumiza hadi familia yake.
Na sisi waswahili tunasema..kilicho mkononi ndio chako..alishaanza masomo ya chuo hivyo alipaswa ashilie hapo..kwa sasa aanze upya tu.
 
Pamoja na kwamba sina ushauri kwa hili, lakini ngoja niseme hivi.....
Binafsi nimekua nikiwaambia watoto wangu mara kadhaa kwamba, hata uwe na akili kama malaikia then ukakosa adabu/nidhamu, wewe ni sawa na takataka.
Alicho kifanya huyo mdogo wako ni utovu mkubwa wa nidhamu kwa kuacha chuo kienyeji. Na nadhani alijaribu kufanya shortcut ili kufikia mafanikio chap, na leo sasa imemgharimu yeye na inawaumiza hadi familia yake.
Na jeshi la Tanzania hakuna mafanikio, ni kuuza tu UHURU wako.

Ni takataka.

Usiache shughuli zako na kukimbilia jeshini hususani ukiambiwa uanzie JKT. Ni utopolo.

Tatizo la wabongo hawaoni hata miezi 6 mbeleni, wanaishi kwa vijimatumaini matumaini tu visivyokuwepo
 
Pamoja na kwamba sina ushauri kwa hili, lakini ngoja niseme hivi.....
Binafsi nimekua nikiwaambia watoto wangu mara kadhaa kwamba, hata uwe na akili kama malaikia then ukakosa adabu/nidhamu, wewe ni sawa na takataka.
Alicho kifanya huyo mdogo wako ni utovu mkubwa wa nidhamu kwa kuacha chuo kienyeji. Na nadhani alijaribu kufanya shortcut ili kufikia mafanikio chap, na leo sasa imemgharimu yeye na inawaumiza hadi familia yake.

Unamtoa kwanza kuku kwenye mikono ya kicheche ndio unampa darasa kuchunga vichakani sio vizuri kuna hatari. Ushauri mzuri sana lakini kwa hii kesi, anahitaji nini kifanyike kuanzia hapa alipo.

Tukirudi kwenye mada. Mie nashauri aombe kazi makampuni ya ulinzi huku akiwa amepeleka maombi ya kusoma Open University. Kijana naona yeye shauku yake kubwa kufanya kazi, suala la kusoma ni kama kutimiza ratiba tu.

Nimeshauri kazi ya ulinzi kwa vile tayari ana vigezo na uzoefu wa mafunzo aliyopata JKT.

Akipata Open University ataweza kusoma huku akiendelea na kazi yake.

Mwisho,
Mrs minel , mkimuuliza yeye anataka nini majibu yake yakoje?
 
Pamoja na kwamba sina ushauri kwa hili, lakini ngoja niseme hivi.....
Binafsi nimekua nikiwaambia watoto wangu mara kadhaa kwamba, hata uwe na akili kama malaikia then ukakosa adabu/nidhamu, wewe ni sawa na takataka.
Alicho kifanya huyo mdogo wako ni utovu mkubwa wa nidhamu kwa kuacha chuo kienyeji. Na nadhani alijaribu kufanya shortcut ili kufikia mafanikio chap, na leo sasa imemgharimu yeye na inawaumiza hadi familia yake.
...In Kweli ulichoandika maana Wazee wetu Waliisha Sena 'Mchuma Janga hula na Wa Kwao'....kwa akili ya Kawaida Kabisa, hivi unawezaje Kuacha Chuo Kikuu bila taarifa yoyote ili uende JKT 'kubahatisha' Kupata Ajira bila kushauriana na mkubwa hats mmoja tu was familia yenu?...
 
Back
Top Bottom