Hizo namba zimefutikaje maana haujatupa mzizi wa / sababu ya kutafuta hizo namba.......?!
Kama ni kwasababu za kiupelelezi wahudumu wa mitandao ya simu hawawezi kukusaidia hadi kibali kutoka polisi na utambulisho maaalimu labda kama unajamaa yako anafanya kazi kwenye kampuni ya sim.
Kama ni umepoteza kikawaida kuwa zimefutika si uwasiliane na watu wa karibu wakupatie hizo namba?!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.