Naomba msaada wa jinsi ya kuondoa HDD Password kwenye Computer

souljah meditater

JF-Expert Member
Oct 15, 2012
2,146
2,093
Habari wakuu, nina tatizo la HDD Password kwenye Laptop ya Samsung Notebook nimejaribu kuiondoa kwa kila njia niijuayo imeshindikana na mbaya zaidi nikaamua hadi kubadilisha window lakini tatizo limebaki palepale. Naomba mwenye utaalamu au ushauri wa kuitoa hii HDD Password kwenye compuer anisaidie.
 
Mkuu zima laptop yako, chomoa betri, ifungue ndani kisha ondoa CMOS betri subiri dakika kadhaa, fanya kama unaiwasha bila betri ukiwa haujachomeka adapter yake. Kisha rudishia kila kitu washa. Ukifanikiwa lete mrejesho. Ikikulazimu isubirie siku mbili kabla haujarudisha cmos hii ni kuruhusu ifanyike discharge na upotevu wa memory vya kutosha.
 
Mkuu zima laptop yako, chomoa betri, ifungue ndani kisha ondoa CMOS betri subiri dakika kadhaa, fanya kama unaiwasha bila betri ukiwa haujachomeka adapter yake. Kisha rudishia kila kitu washa. Ukifanikiwa lete mrejesho. Ikikulazimu isubirie siku mbili kabla haujarudisha cmos hii ni kuruhusu ifanyike discharge na upotevu wa memory vya kutosha.
Asante kwa ushauri mkuu ingawa nilishaijaribu hiyo njia ya kutoa CMOS betri na kusubiri dakika kadhaa nilipoiwasha bado ilidai HDD Password, labda nijaribu kuisubiria siku mbili bila kurudisha CMOS then nione. Ikikubali nitaleta mrejesho
 
Mkuu upo wapi nikusaidie.
Iyo inawezekana ila kama huna utahalamu wa IT hutaweza.

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Ao wataalamu ulipeleka ni wale wanaojua kuformat window na kuinstall upya na wakajiita wataalamu. Wao kila tatizo la computer wanakimbilia kuformat.

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Emu nitajie wataalam unaowajua wewe niwapelekee
 
Habari wakuu, nina tatizo la HDD Password kwenye Laptop ya Samsung Notebook nimejaribu kuiondoa kwa kila njia niijuayo imeshindikana na mbaya zaidi nikaamua hadi kubadilisha window lakini tatizo limebaki palepale. Naomba mwenye utaalamu au ushauri wa kuitoa hii HDD Password kwenye compuer anisaidie.
Kwanza kwa nn uhitaji kutoa hdd passwaord kama pc ni yako mkuu? Tuanzie hapo kisha nikusaidie hilo tatizo lako

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
 
Asante kwa ushauri mkuu ingawa nilishaijaribu hiyo njia ya kutoa CMOS betri na kusubiri dakika kadhaa nilipoiwasha bado ilidai HDD Password, labda nijaribu kuisubiria siku mbili bila kurudisha CMOS then nione. Ikikubali nitaleta mrejesho

HDD password haitoki kwa kuondoa CMOS, ile ni BIOS password ndo inatoka kwenye baadhi ya kompyuta kwa kutoa CMOS battery. BIOS na HDD ni vitu viwili tofauti.

HDD battery hautaweza kuitoa zaidi ya kubadili HDD, kama unaweza kuboot na kubadili Windows sielewi hiyo password inakusumbua nini?
 
Mkuu nipo dar kavp nipe ramani nikuletee unisaidie
download CMOSPWD, extract folder kwenda kwa C drive au drive yenye OS yako.

nenda kwenye window applications and search "cmd"

Type “cmd” and press enter.

Now type
“cd c\cmospwd-5.0\windows\” (C ni drive yenye OS yako) and press enter.

Next type “ioperm -i” and press enter

After that type, “cmospwd_win /k” and press enter.

Itakuletea screen yenye numbers “1” “2” and “0”

Wewe Type “2” and press enter…

Jaribu ivyo. Ukikwama nitafte.

UPDATE.
SORY NILJUA UNATOA PASSWORD YA CMOS. KUMBE HDD. NGOJA NKUTUMIE YA HDD.

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Ikishindikana nikupe mbinu nyingine. Ninajua njia zaidi ya tano za kutoa password. Tunaanza na Rahis kwanza.

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
download CMOSPWD, extract folder kwenda kwa C drive au drive yenye OS yako.

nenda kwenye window applications and search "cmd"

Type “cmd” and press enter.

Now type
“cd c\cmospwd-5.0\windows\” (C ni drive yenye OS yako) and press enter.

Next type “ioperm -i” and press enter

After that type, “cmospwd_win /k” and press enter.

Itakuletea screen yenye numbers “1” “2” and “0”

Wewe Type “2” and press enter…

Jaribu ivyo. Ukikwama nitafte.

UPDATE.
SORY NILJUA UNATOA PASSWORD YA CMOS. KUMBE HDD. NGOJA NKUTUMIE YA HDD.

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Kuna hii tool inaitwa "Ultimate boot CD" ndyo inafanya ayo mambo. Sasa kukuelekeza sijajua level yako ya uelewa wa mambo ya IT. Kunavitu unabidi uwe unajua kama kuburn bootable cd, kuboot CD etc.

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Kwanza kwa nn uhitaji kutoa hdd passwaord kama pc ni yako mkuu? Tuanzie hapo kisha nikusaidie hilo tatizo lako

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
Nahitaji kuitoa kwa sababu inakuwa na mlolongo mrefu napoiwasha pindi nikitaka kuitumia, pc ni yangu kama una ushauri toa acha maswali ya kbashite
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom