MWEMBEKIUNO
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 1,878
- 2,470
Habari ya saa hizi wanajamvi.. naomba msaada wa jinsi ya kuipata App ya Tala na Branch na pia matumizi ya hizo App.
Mkuu nenda App Store, hizo zote zinapatikana.Habari ya saa hizi wanajamvi.. naomba msaada wa jinsi ya kuipata App ya Tala na Branch na pia matumizi ya hizo App.
okMkuu nenda App Store, hizo zote zinapatikana.
wanakera sana wanavyodai?Eeh kwa kudai hawajambo rafiki yangu mmoja ametupa lain baada ya kukopa tala
Alikuwa ana daiwa kiasi gani mpaka aamue kutupa laini?Eeh kwa kudai hawajambo rafiki yangu mmoja ametupa lain baada ya kukopa tala
Yan shoga yangu alikuwa anapigiwa sm daily nikamwambia ukomeeeHivi hua wanachukua hatua gani hawa ukizingua kuwalipa?
79 elfAlikuwa ana daiwa kiasi gani mpaka aamue kutupa laini?
Hapo shoga yako kazingua mwenyewe,
kukopa sherehe kulipa matanga.... Utakua hukopesheki Nduguwanakera sana wanavyodai?
branch kiwango chao cha kuanzia wanakupa sh ngap?Hapo shoga yako kazingua mwenyewe,
Amekosa uaminifu mm ni mdau
Sema tala wako vizuri zaidi ya hao wengine
Ukiwa unalipa kama ambavyo wewe mwenyewe unaji commit hawana longolongo kabisa yani
Lakin ajue risks zake mkuu maana kutupa lain asijezani kakimbia deni la watu.Eeh kwa kudai hawajambo rafiki yangu mmoja ametupa lain baada ya kukopa tala
Nitamshauri ajitahidi kulipaaLakin ajue risks zake mkuu maana kutupa lain asijezani kakimbia deni la watu.
Huyo asipolipa basi jina lake litawekwa kwenye list ya wadaiwa sugu na matapeli. Siku akiomba mkopo benki lazima wa cross check jina na wakilikuta kwenye hiyo list she/he is done. Hapati mkopo.
5000/- mpaka 10,000/-branch kiwango chao cha kuanzia wanakupa sh ngap?
Mkuu una kopesha????kukopa sherehe kulipa matanga.... Utakua hukopesheki Ndugu
Kuna apps ngapi za kukopa?? Tofaut na gala na hao branchBranch hawana akili nilikopa nikachelewesha kulipa baada ya kulipa huu mwezi wa 5 Sasa wananigomea mbaya zaidi hadi app zingine nazo zinagoma kunikopesha