Bob laidoo
Member
- Aug 19, 2019
- 49
- 17
Habari za majukum wadau wa JamiiForums,
Naitaj kujua jinsi ya kuyahuisha mafaili yaliyo athiriwa na ZWER Virus katika Computer.
Hii ni baada ya kirusi huyo kuingia na kuyafanya mafaili yote kufanana hatimaye kushindwa kufunguka kabisa.
Kwa yeyote mwenye ujuzi huo naomba maelekezo tafadhali.
Asanteni
Naitaj kujua jinsi ya kuyahuisha mafaili yaliyo athiriwa na ZWER Virus katika Computer.
Hii ni baada ya kirusi huyo kuingia na kuyafanya mafaili yote kufanana hatimaye kushindwa kufunguka kabisa.
Kwa yeyote mwenye ujuzi huo naomba maelekezo tafadhali.
Asanteni