Naomba msaada wa hii kesi jamani

Sep 1, 2018
30
42
Bosi wangu amenipa kazi ya ujenzi lakini kwenye makubaliano ya pesa yangu sikutaka nilipwe mimi nikataka alipwe mama yangu na bosi akakubali bali hio pesa bosi wangu hakutoa Cash akatoa Cheque. Baada ya mama yangu kwenda Bank akaambiwa cheque ni feki kwahio anaetakiwa kulalamika mahakamani ni nani wakati bosi alitoa cheque halali . .
Karibuni katika business law
 
Hakuna kesi hapo, mrudishie Cheque yake Boss wako akupe cash kwani pesa bado haijatoka kwenye A/c yake. mkikagua mtajiridhisha kuwa malipo yamefanyika au bado
na si vizuri ufanye kazi wewe umuandike mtu mwingine, ni kosa, kwani kuna mambo ya Kodi,na makato mengine lazimau uyalipe kwa Serikali yetu
 
Hajuna kesi hapo, mrudishie Cheque yake Boss wako akupe cash kwani pesa bado haijatoka kwenye A/c yake. mkikagua mtajiridhisha kuwa malipo yamefanyika au bado
na si vizuri ufanye kazi wewe umuandike mtu mwingine, ni kosa, kwani kuna mambo ya Kodi,na makato mengine lazimau uyalipe kwa Serikali yetu
Asante ndugu kwa mchango mzuri wa mawazo shukrani
 
Bosi wangu amenipa kazi ya ujenzi lakini kwenye makubaliano ya pesa yangu sikutaka nilipwe mimi nikataka alipwe mama yangu na bosi akakubali bali hio pesa bosi wangu hakutoa Cash akatoa Cheque. Baada ya mama yangu kwenda Bank akaambiwa cheque ni feki kwahio anaetakiwa kulalamika mahakamani ni nani wakati bosi alitoa cheque halali . .
Karibuni katika business law
Kasome negotiable instruments jibu liko wazi nani mwenye locus standi...
 
Hakuna kesi hapo, mrudishie Cheque yake Boss wako akupe cash kwani pesa bado haijatoka kwenye A/c yake. mkikagua mtajiridhisha kuwa malipo yamefanyika au bado
na si vizuri ufanye kazi wewe umuandike mtu mwingine, ni kosa, kwani kuna mambo ya Kodi,na makato mengine lazimau uyalipe kwa Serikali yetu
jibu lina mashiko sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom