Black jackal360
Member
- Sep 1, 2018
- 30
- 42
Bosi wangu amenipa kazi ya ujenzi lakini kwenye makubaliano ya pesa yangu sikutaka nilipwe mimi nikataka alipwe mama yangu na bosi akakubali bali hio pesa bosi wangu hakutoa Cash akatoa Cheque. Baada ya mama yangu kwenda Bank akaambiwa cheque ni feki kwahio anaetakiwa kulalamika mahakamani ni nani wakati bosi alitoa cheque halali . .
Karibuni katika business law
Karibuni katika business law