Mlangaja
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 579
- 218
Ndugu wana JF nimekuwa na maono ya kuanzisha kampuni ya uzalishaji, usindikaji na uuzaji wa zao la zabibi kwa mda mrefu ila sijui hatua za namna ya kuanzisha kampuni. Nipenda kampuni ya ushirikiano yaani partnership kwani ni rahisi kwangu kuisimamia.
Kwa yeyote anayefahamu naomba msaada wenu.
Kwa yeyote anayefahamu naomba msaada wenu.