Kilimo cha Bamia: Fahamu kuhusu mbegu bora, mazingira sahihi ya kulima, magonjwa na namna ya kuyakabili

Thanks.. Vinundu kny mizizi unajuaje kama vipo ili utie dawa?? Unachimba kuangalia au unaweka dawa tu?
 
Tunashukuru Kwa darasa hili la kilimo. Alafu hayo masomo mengine na yenyewe ungeyatagi apo chini tusome kuliko kuanza kutafuta. Ila shukrani sana ndugu. Tunaomba kama moderator utaweza ukayatagi hayo masomo mengine tukajifunza ndugu.
Jamiii Forum darasa langu na shule yangu
asnate sana ntajitahidi zaidi
 
Habari za kazi waheshima wakulima, wafanya biashara na wajasiliamali. Mimi ni mtu ambaye ninajitahidi kutafuta fusa popote pale cos bado nikija nimemaliza chuo mwaka jana BA-AF apo ushirika, nimepata sehem ya kushinda mchana japo malipo sipata just najifunza kaz ... Nilikuwa naomba angalau elimu juu ya kilimo cha bamia cos naamini kwenye kilimo na biashara huku naweza sema ndo kunaweza kunitoa kimaisha msaada wako mdau ni muhimu sana
 
Mkuu mimi bamia nililima mwaka 2016 maeneo ya kibaha ila haikunilipa kutokana na kukosa ufatiliaji

Binafsi nililima kienyeji kwa kupanda kama mahindi
Na kumwagilia mwanzoni

Nilipandia mbolea ya kuku.

Nilipata mavuno kidogo kutokana na changamoto ya udongo na pia ubora wa mbegu.

Ushauri wangu ; tafuta mbegu bora upige kazi na ukumbuke bamia haipendi maji mengi
Ikizidiwa inapukutisha majani na kufariki.
 
Hornet, Mkuu ukilima bamia weka dhamira ya kugangia njaa tu ila kama ndo unataka ikuboost kiuchumi dah nahisi bado sio choice nzuri maybe ulime ekari kadhaa bora hata ulime matikiti tu ukomae siku zako 90 ufe na chako kuliko hizo bamia
 
Mkuu ukilima bamia weka dhamira ya kugangia njaa tu ila km ndo unataka ikuboost kiuchumi dah nahisi bado sio choice nzuri maybe ulime ekari kadhaa bora hata ulime matikiti tu ukomae siku zako 90 ufe na chako kuliko hizo bamia
Hapana Kuna Wakati bamia inasumbua Sana sokoni,kisado kinauzwa 6000 >
Sasa Kuna mbegu fulani niliona mahali inapanda kama mti Ile unachuma mpaka unaacha

Na ukumbuke Kila kilimo kikifanywa kwa usahihi kina faida

Matikiti nayo yameliza watu kwa namna yake
 
Hapana Kuna Wakati bamia inasumbua Sana sokoni,kisado kinauzwa 6000 >
Sasa Kuna mbegu fulani niliona mahali inapanda kama mti Ile unachuma mpaka unaacha

Na ukumbuke Kila kilimo kikifanywa kwa usahihi kina faida

Matikiti nayo yameliza watu kwa namna yake
Anyway binafsi wengi niliowaona wakilima bamia huwa wanagangia njaa na hasa huwa wanalima msimu huu wa kiangazi ktk mashamba yenye unyevu hasa ya mpunga,By the way bamia siijui kiundani so ngoja tusubiri mawazo tofautitofauti
 
Mkuu...
God bless you! Nitakutafuta kwenye simu kwa ushauri zaid. Ila nauliza huku Mwanza City hamjafikiria kufika? Au tayari mpo niwacheki katika ofisi zenu.
Asante
 
Shukrani Mjasiriamali. Vipi unajua pia issue ya miparachichi? Mi ninao umekuwa mkubwa lakini hautoi matunda. Nifanyeje?
 
Shulani sana wakuu mliochangai ila apa mwishoni kunawatu wameanza kufikili negative ila kwa uapande wangu mimi nilikuwa nataka tu kujifunza kuhusu elimu hii ya kilimo cha bamia cos naamini JF mtu unapatata kila kitu so minaona tuwe natabia ya waza positive
 
Back
Top Bottom