Mfahamu mdudu kunguni (bedbugs) na jinsi ya kumuangamiza

KUNGUNI
Mkuu hao dawa yao n ndogo tu
Andaa mafuta ya taa + sabuni ya unga + maji

Chemsha maji mpaka yawe ya Moto vzr weka mafuta ya taa na hyo sabuni ya unga .

Mwaga kila Kona kunguni wanapokaa kiukwel utawaokota Kama njugu

#97blessed
Hapa nahitaji ufafanuzi wa lugha. Ukichemsha maji maana yake nyuzi joto linafika mia maji yanachemka. Lakini umeongeza "Mpaka yawe ya moto Vizuri" kwani maji yaliyochemka huwa siyo ya moto? au kuwa ya moto vizuri ni zaidi ya kuchemka? au kuchemsha muda mrefu?
Maji yakiisha chemka huna haja kuendelea kuyachemsha.
Hahaha ukiwa mganga inabidi wagonjwa wakuelewe kwanza kabla hawajaelewa maelezo ya dawa.
 
Tumia mafuta ya taa mkuu yatakusaidia sana nyunyizia kwenye chaga za kitanda, godoro halafu kagua kwenye pembe za chandarua kama wapo mwagia mafuta ya taa.
Sahihi Kabisa.
Dawa nyingine atumie sabuni ya unga.
Sabuni ya unga "ya kupima".Unakoroga lt 2 za maji baridi kwa gm1000.
Mchanganyiko huo kwa kunguni ni zaidi ya maji moto ama acid.
Ni sumu ya ajabu sana kwa kunguni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ungekuwa hujaelewa ningekuelewexha
Hapa nahitaji ufafanuzi wa lugha. Ukichemsha maji maana yake nyuzi joto linafika mia maji yanachemka. Lakini umeongeza "Mpaka yawe ya moto Vizuri" kwani maji yaliyochemka huwa siyo ya moto? au kuwa ya moto vizuri ni zaidi ya kuchemka? au kuchemsha muda mrefu?
Maji yakiisha chemka huna haja kuendelea kuyachemsha.
Hahaha ukiwa mganga inabidi wagonjwa wakuelewe kwanza kabla hawajaelewa maelezo ya dawa.

#97blessed
 
Mkuu hao jamaa wakiingia ndani hawana dawa ya kuwaua, ila nakushauri tu kwamba wee chukua nguo zako za kuvaa zinyooshe then hamia kwa shemeji yetu, kwa muda usiopungua miezi mitatu, wote watakufa njaa, mi niliwahi kuvamiwa nikatumia njia hiyo mpaka Leo Niko salama kabisa.
Mkuu haujashauri kitu hapo kuhusu kuwakimbia.

Kunguni hafi njaa anasinyaa tu anasubiri hata mwaka hafi.

Halafu kama nyumba ya mbavu za mbwa, akiwakimbia wakakosa chakula, watatamblia vyumba vingine.

Kama fumigation wako mbali, atumie kunyunyizia mafuta ya taa maeneo yote ya chumbani mwake na baadaye akoroge sabuni ya unga Kwa maji baridi wastani wa 2ltrs/1000gms amwagie kitanda na net.

Afanye hivyo kila baada ya wiki ndani ya mwezi, kunguni itabaki stori.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maji ya moto....chemsha pipa mbili zitokote kiwango cha conc sulphuric acid

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumia mafuta ya taa mkuu yatakusaidia sana nyunyizia kwenye chaga za kitanda, godoro halafu kagua kwenye pembe za chandarua kama wapo mwagia mafuta ya taa.
Huna unalojua bwege wewe, nani kakwambia kunguni wanatokana na uchafu! wale hata uwe msafi vp? akitimba tu ndani ya wiki wanakuwa wa kutosha kama jeshi la vietinam.

kutokuwepo kwa kunguni italy inaweza kuwa sababu ya hali ya hewa na sio usafi.

italy hawawezi ruhusu watu wenye umeme mdg kichwani kama ww?
Mwezi wa tatu napaa tena Italy sidhani Kama hata ushawahi tumia usafiri wa ndege au huwa mnatuona tu angani
Tabia zenu za uchafu tunazijua
Italy tu unasumbua hivi ungekaa sweeden au finland ingekuaje?,maana uchumi wa italy kwa europa sio mzuri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nachofanyaga nachomeka pasi ya Umeme ikipata moto nanyanyua godoro ...lile rundo jeusi napitisha palepale ....riadha hakuna wote wanakufa then napitisha pasi sehem zenye mayai Yale meupe yanakufa pia...mazalia yao hayataendelea...napitisha pande zote za godoro hasa zile nyeusi....hawaishi lakini wanapungua sabab hawa wadudu wakishaingia kwako wanawekeza kila kona ya chumba

Sent using Jamii Forums mobile app
Bado hujaua wakiamka mbona utakimbia kitanda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda kariakoo soko kuu..upewe dawa ya kupiliza..itabaki historia

Pale kuna dawa ya wadudu..na utapata wstalaam..nakuhakikishia ndani ya week moja ....utalala kwa amani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumia mafuta ya taa mkuu yatakusaidia sana nyunyizia kwenye chaga za kitanda, godoro halafu kagua kwenye pembe za chandarua kama wapo mwagia mafuta ya taa.

Tumia brashi ya rangi ya nchi 3 kupaka mafuta ya taa kwenye kingo zote za godoro pia paka katika maungio ya chaga na kitanda. Hakikisha godoro lina cover ambayo haina matumdu ili wasijichimbie ndani ya sponji.
Mafuta ya taa yataua kunguni wazima na mayai pia hivyo life cycle utakuwa umeithibiti.
 
Kunguniiiii
tapatalk_1546662563757.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
KUNGUNI
Mkuu hao dawa yao n ndogo tu
Andaa mafuta ya taa + sabuni ya unga + maji

Chemsha maji mpaka yawe ya Moto vzr weka mafuta ya taa na hyo sabuni ya unga .

Mwaga kila Kona kunguni wanapokaa kiukwel utawaokota Kama njugu

#97blessed
Vipi ukichanganya bila kuchemsha hayo maji haitasaidia?
 
Italy tu unasumbua hivi ungekaa sweeden au finland ingekuaje?,maana uchumi wa italy kwa europa sio mzuri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Utakuwa sio nzima wewe hizo nchi ulizozitaja haziifikii Italy kiuchumi sema kinachowasaidia ni kwamba uchumi wao uko evenly distributed unadhani kwanini nchi ulizozitaja hazipo G7/8 wakati Italy IPO?
 
Tumia brashi ya rangi ya nchi 3 kupaka mafuta ya taa kwenye kingo zote za godoro pia paka katika maungio ya chaga na kitanda. Hakikisha godoro lina cover ambayo haina matumdu ili wasijichimbie ndani ya sponji.
Mafuta ya taa yataua kunguni wazima na mayai pia hivyo life cycle utakuwa umeithibiti.
Hiyo brashi lazima iwe ni ya inchi 3? Ikiwa ni ya inchi 2 au 4 haitafaa?
 
Nenda kariakoo soko kuu..upewe dawa ya kupiliza..itabaki historia

Pale kuna dawa ya wadudu..na utapata wstalaam..nakuhakikishia ndani ya week moja ....utalala kwa amani

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda soko la Kariakoo maduka ya zana za kilimo ulizia dawa inaitwa LAVA.Hi ni kiboko changanya na maji puliza ndani ya nyumba,vitanda na chaga zake.Utateta mrejesho nina hakika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa Sina utani mi nilsumbuka balaa miaka ya mwanzoni mwa 2000 mkoa FULANI nikawa napiga SUMU ya kunguni INAITWA daizon lakini hawaishi,ila dawa inaleta joto la hatari .NIKATUMIA MAJI YA MOTO HAKUNA MAFANIKIO.LAKINI NIKIPOTUMIA MAJI YA BARAFU HAWAKUISHI HADI NA MAYAI YAO MKUU SI UTANI DAWA YA KUNGUNI NI MAJI YA BARAFU
Ulifanyaje mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom