Gody
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 1,246
- 411
nashukuru sana mkuu. Iyo hand sprayer ndo tunaipata maduka yanayouza nini? Usishangae kukuuliza nipo kijijini. Mungu akubariki kwa msaada wako!
Huko huko kwenye duka la madawa ya kilimo ukiulizia watakuonyesha kama hawana watakuelekeza pia ni kopo fulani la 1litre au 1litre na nusu, hivi ukienda saloon ukimaliza kunyoa kuna maji fulani huwa tunapuliziwa ya povu povu sasa lile kopo ndo mfanowe na ukilikosa kabsa nenda saloon yoyote waambie wakuuzie lililotumiaka pia ukikosa hata saloon basi weka maji 1litre kwenye ya maji safi uhai/kmanjaro weka dawa kizibo ki1 au zaidi kama unataka wafe huku unawaona! Af toboa kwenye kizibo unakuwa ukamua kama unabinya kama tomato sorce kwa chips!
Kibirizi nimekupata mkuu ila ni vizur hii dawa akaifanyia kaz asubuh ili kufika wakati wa kulala harufu isimkere ndani maaana ni kali mno ila zingatia mashuka yakigusana na ngozi huwa inawasha na itakuwa vzur kama utapata mipira ya kuvaa mikonon!! Na
Last edited by a moderator: