MORIO15
Member
- Oct 13, 2016
- 32
- 48
pima hivi vitu
Iron deficiency anemia ni anemia ambapo damu hukosa red blod cells zenye afya na hupelekea mzunguko wa damu kuwa hafifu kwenye mwili.
Congestive heart failure. Ambapo chemba za moyo za chini zina feli kupump damu vizuri na kufanya damu kuganda kwenye sehemu za mguu na pia huweza sababisha maji kujaa kwenye mapafu na kusababisha kupumua kwa shida.
liver Cirrhosis. hii ni tatizo la figo
Kidney disease and damage. huwa ni pale fluids and sodium kwenye circulation huwa sio nzuri. pia hupungufu wa protein kwenye damu hupelekea damage ya mishipa ya damu na husabisha maumivu. .
Inadequate lymphatic system. hii ni system husaidia katika kusafisha maji yalizidi kwenye tissue inapo kuwa na tatizo labda kutokana na kovu au cancer hupelekea maji kujaa kwenye tissue na huasabisbisha matizo.
Iron deficiency anemia ni anemia ambapo damu hukosa red blod cells zenye afya na hupelekea mzunguko wa damu kuwa hafifu kwenye mwili.
Congestive heart failure. Ambapo chemba za moyo za chini zina feli kupump damu vizuri na kufanya damu kuganda kwenye sehemu za mguu na pia huweza sababisha maji kujaa kwenye mapafu na kusababisha kupumua kwa shida.
liver Cirrhosis. hii ni tatizo la figo
Kidney disease and damage. huwa ni pale fluids and sodium kwenye circulation huwa sio nzuri. pia hupungufu wa protein kwenye damu hupelekea damage ya mishipa ya damu na husabisha maumivu. .
Inadequate lymphatic system. hii ni system husaidia katika kusafisha maji yalizidi kwenye tissue inapo kuwa na tatizo labda kutokana na kovu au cancer hupelekea maji kujaa kwenye tissue na huasabisbisha matizo.