Martine Tibe
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 221
- 156
Nina miaka 26 mwaka 2012 nilianza kuugua kuharisha, kuchoka sana, baridi Kali, miguu kuvimba, uso kuvimba hasa wakat wa asubuhi, mapigo ya moyo kwenda mbio, ngozi kuwa nyeupe . Nilikwenda hospitali nikawa walivyonipima HB nikawa na 2.0g/dl.
Nikapewa BT ,na dawa za minyoo Mambo yakawa shwari lkn mwaka 2014 mambo yakajiyokeza tena nikapimwaHB nikawa na 3g/dl. Nikapewa BT na ferrous . Mambo yakawa shwari lakini mwaka 2017 mamb yakaanza tena lkn nikawahi ktumia ferrous hali ikaisha .
Mpka sasa nikigundua damu kupungua (ambazo naona dalili kama uso kuvimba wakat wa asbh na miguu kuvima ngozi kuwa nyeupe mfano km unajikirimu yan na )natumia ferrous ndo mtindo wa maisha niliyonayo since 2017.Naomba msaada wenu what the diagnosis/problem I battle with?. And what to do?. Na je nipime nini?.
Nikapewa BT ,na dawa za minyoo Mambo yakawa shwari lkn mwaka 2014 mambo yakajiyokeza tena nikapimwaHB nikawa na 3g/dl. Nikapewa BT na ferrous . Mambo yakawa shwari lakini mwaka 2017 mamb yakaanza tena lkn nikawahi ktumia ferrous hali ikaisha .
Mpka sasa nikigundua damu kupungua (ambazo naona dalili kama uso kuvimba wakat wa asbh na miguu kuvima ngozi kuwa nyeupe mfano km unajikirimu yan na )natumia ferrous ndo mtindo wa maisha niliyonayo since 2017.Naomba msaada wenu what the diagnosis/problem I battle with?. And what to do?. Na je nipime nini?.