Jinsi ya kuandaa mpango wa biashara (Business Plan)

Ujaelewa ulichoandika, kuna aina mbili za Business Plan
1)Proffessional BS
2)Peraonal BS

1)Proffessional BS:
ndio anayohitaji jamaa hii ina format na mlolongo wake maalum wa kuiandika inamaana katika huo mlolongo unaweka Details kulingana na Biashara yako sifa zake na michalato ila in Proffessional Format.

Hii unaandika kwa kutumia Format maalum unaweka details za Biashara yako tu kama mfano unaweza omba Formart za Assigment, Portifolio, Barua nk.

Hii inatumika kushawishi muwekezaji au kupata mkopo, si muhimu kuandika hii endapo huitaji uwezeshi wowote.

2)Peraonal BS:
Hii ndio unayoizungumzia ni mchakato na mahesabu unayoyapiga mwenyewe Biashara yako... hakuna mfanyabiashara ambae hana hii BS either kwa kuiandika au kichwani kwake. Inamaana hii tiali anayo na ndio muhimu zaidi kwa Biashara yake ila hawezi ipeleka Bank ataonekana chizi.

So, usichangane hivyo vitu viwili, anayohitaji mtoa mada ni Proffessional BS ambayo haikuwa na umuhimu kwake alivyokuwa haitaji msaada.
Mpatie please unaonekana unazifahamu
 
Business Ya kuombea mkopo halmashauri sio ya kuiandikaandika tuu, mkopo unatakiwa upatikane, urejeshwe na biashara ikue...... mpango biashara wenye mafanikio hauhitaji format pekee, vipo vingi vya kuangalia kitaalamu na kiuzoefu pia kuepukqna na mikopo ambayo hailipiki na biashara hazikui
Kabla hajakopa anione apate Elimu sahihi ya Fedha na business proposal ntamuandikia inayokopesheka SIO BURE 0769160382 nifuatilie nimeweka somo LA Elimu ya Fedha
 
Nahitaji ili niweze kuedit na kuweka taarifa zangu. Nimejaribu kupitia Google nimeona kuna hatua kadhaa za kufuata zenye kutuliza kichwa kisawasawa.

Lengo la hii business plan ninayotaka kuiandaa ni kwa ajili ya kuombea mkopo Halmashauri wa biashara ya Duka la mahitaji muhimu ya nyumbani almaarufu kwa Mangi.

Nitashukuru sana kwa msaada wenu
Fuatilia somo LA Elimu ya Fedha
 
Kwa maoni yangu ili ufanikiwe kibiashara lazima/muhimu eneo unalofanya biashara ulimiliki mwenyewe ili kuondoa/kupunguza gharama zisizokua za lazima
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom